SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Magamba yanaruka na kukanyagana. Hakuna msafi hata mmoja huko magamba, yote mifisadi tu.
Mkuu wangu Kimbunga kweli lazima uchanganyikiwe huyu ndege jina jingine anaitwa Ardeotis Kori nyama yake tamu ana kilo 18 upate jike wanachoma na kula na mkate wa kuchoma...kweli Maige tumuonee huruma...kila jumatatu anachinjiwa Nyemera jike.
Maige kachanganyikiwa baada ya kupigwa chini halafu wewe Nape usijifanye wewe msafi sana wakati hujawahi kufanya chochote kwenye taifa letu zaidi ya maneno mengi.
Unajua Maige anaweza akawa na hoja ya msingi kabisa au kunakitu anakijua lakini kwakua hakusema enzi ni waziri kwa maslah ya kulinda meza sasa hiv watu hawamuelewi,mi nazani akisikilizwa na akachimbuliwa anamengi,mi najua mbali na ubadhilifu kwa kutumi report ya CAG lakin inaonekana kabisa kunakitu anakijua ambacho huwenda alikitaa na anaamini ndicho chanzo cha kumtoa kwenyd uwazi.Mtakuja kuniambia
@Preta kumbe na siasa umo? nilidhani mapenzi tu kule MMU. Hawajambo A-Town?