Mahusiano

Mahusiano

Rehanikiza

Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
8
Reaction score
5
Mimi Mgeni Humu Napenda Kuuliza Hivi Wanao Tafuta Wachumba Humu Wanafanyikiwa Kweli? Au Niudanganyifu2?
 
U
Aseee!hilo ni la msingi sijui nimesahauje

Hebu tusubiri tuone kama anajua kujibu
sisahau kunistua basi....

Siku hizi sijui umekuwaje... unanitenga sana kwenye mambo muhimu ya kijamii
 
Mimi Mgeni Humu Napenda Kuuliza Hivi Wanao Tafuta Wachumba Humu Wanafanyikiwa Kweli? Au Niudanganyifu2?
Hawafanikiwi, kwa sababu wadada wengi wa jf wakiwa nyuma ya keyboard wanaongea utadhani wazuri kweli, sasa subiri ukutane nao, sura kaa ya mbuzi, miguu spoko za baiskeli, huku nyuma ni flat screen,,,utaoa kweli hapo?!!!! Mdada anakunywa pombe utadhani yupo kwenye mashindano....
 
Yani ushakua frustrated na kupàta mchumba,,,pole Mungu atakupa
 
Back
Top Bottom