Mahusiano yenye afya

Mahusiano yenye afya

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,147
Reaction score
55,635
Mahusiano yenye afya ni yale yanayokupendezesha na kukupa furaha tangu ulipoingia kwenye hayo mahusiano,na kukufanya kuwa:-
  • Smart/ usafi wa mavazi na mwili
  • kuwa mwenye furaha muda wote
  • Mwili kutakata
  • Kila mmoja kuchangia kwa 100% katika huo uhusiano
  • Kutokuwa na msongo wa mawazo
  • Kufanya kazi kwa bidii kutokana na ushirikiano unaopata kwa mwenza
  • Kuwa na maendeleo endelevu n.k
Mahusiano yasiyokuwa na afya yanamfanya muhusika:-
  • kutokujijali na kuwa mchafu mchafu
  • Kuwa na mawazo mengi au msongo wa mawazo
  • Kupigwa mizinga isiyoeleweka
  • Ngozi ya mwili kufubaa
  • Kuwa mlevi kupitiliza
  • Ufanisi wa kazi kupungua
  • Kuwa na mahusiano ya muda mfupi mfupi kwa wapita njia
  • Pesa nyingi kupotea kutokana na kuhonga au kulazimisha penzi
  • Mwili kukongoroka n.k
 
Tutafute hela tu, tule vizuri, tulale pazuri wazazi wetu wafaidi.. hayo mengine ikitoke tu
 
Kutokujijali ni tabia ya mtu, anaweza akawemo kwenye uhusiano wenye afya kama unavyouita wewe, na bado mtu huyo akaendelea na tabia yake ya uchafu, au ulevi mbwa.
 
Back
Top Bottom