Mahusiano yasiyo na maana

Mahusiano yasiyo na maana

kanye west

Member
Joined
Oct 15, 2015
Posts
8
Reaction score
5
Wakuu kwema humu...
.
Kila mtu lazima atakua matarajio yake kwenye maisha hususani swala la kuwa na ffamilia..swali langu je unaweza kuoa mwanamke ambaye anamtoto.? Binafsi siwezi kabisa
 
Wakuu kwema humu...
.
Kila mtu lazima atakua matarajio yake kwenye maisha hususani swala la kuwa na ffamilia..swali langu je unaweza kuoa mwanamke ambaye anamtoto.? Binafsi siwezi kabisa
We kweli kanyee west
 
kawaida matatizo huweza kukurudisha sehemu uliyoidharau awali kua na subira na staha kwa maneno yako mkuu
 
Wakuu kwema humu...
.
Kila mtu lazima atakua matarajio yake kwenye maisha hususani swala la kuwa na ffamilia..swali langu je unaweza kuoa mwanamke ambaye anamtoto.? Binafsi siwezi kabisa
Maisha yako au swala lako binafsi unataka watu wengine wakujibie? Maisha ni yako na maamuzi ni yako acha ujinga na udhaifu nyie vijana wa siku hizi mbona mmekuwa wapuuzi? Yaani maisha yako personal unataka wengine ndiyo wakuamulie? Idiot
 
Achana na hivi vitu viwili vinavyoitwa mazoea na kupenda

Unaweza jikuta umekutana na mwanamke single maza yupo vzur machoni pako na ana akili za kimaisha mpaka mwenyew tu unajikuta unataman kuwa nae na unatoa na mahari kabisa kama unaoa binti bikra
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom