Habari humu ndani?
Kwa kweli ashukuriwe sana alieanzisha jf. Maana kuna muda unatamani kuongea you dont know mtu wa kukusikiliza. Ila JF inasaidia sana kufanya
Aiseee haya mapenzi mimi mbona sina? Yaani amekugeuza chuma ulete wewe ndo mtoa pesa? Uko nae miaka 9? Wewe umerogwa sio bure, mpuuzi anaishi kwao miaka hiyo yote?
Kweli kuna wanawake mnapenda kiboya sana.mimi mwanaume ambae hatowi chochote kwangu siwezi mvumilia zaidi ya miezi 3.
Amka usingizini, huyo fala anakuona wewe ndo una shida sana wewe ndo unamuhitaji kuliko yeye snavyokuhitaji.
Manina zake nyau huyo.mpigie simu mwambie aje muongee, akifika uwe umeshaandaa nguo zake mkabidhi funga mlango.
Au muulize alipo akisema yupo nyumbani mwambie unakuja kumuona, nenda na mizigo yake yote.
Ikiwezekana hama huo mtaa, mwambie vitu vyake umeviacha ndani akavifate, kha yaani nimesikia hasira sana huu upuuzi siwezi ufanya.
Mpuuzi huyo ana nini cha maana kinachokufanya uendelee kuwa mtumishi wake?
Mwanaume wa hivyo awe wa mwisho kwako, umepoteza muda mwingi sana.sasa amka usingizini.
Ukipata mwingine, hakikisha usimfiche ualisia wako muoneshe mwanzoni kuwa anatakiwa kuwajibika kwako kama mwanaume.lazima atowe pesa kwa ajili yako.
Tangu niwajuwe wanaume walivyo wapuuzi siteswi na mapenzi, zamani nilikuwa nawaza atanionaje nikimwambia mambo ya pesa?niliteseka sana
Nikawaza hawa ni wa kuwambia indirectly.
Kuna mmoja huyoanataka kunipandisha nyeunge niende kwake ahaaaaa nimenyoosha maelezo, nikamwambia mimi sipandi basi masaa 13 nimekalisha tako kwenye basi kukufata, nikamwambia nasubiri tiketi ya ndege asipotuma kwangu nakula nakusaza. Na ataituma asipotuma sina cha kupoteza kwake.
Inabidi nimzoeshe hivyo asije niona mimi ni wa kusafiri na nyeunge kha. Mtu uwezo anao afu nijitese? Nyooolooo zake😂
Dada leo hii hakikisha huyo tegemezi anaondoka kwako mwambie umepata mwanaume mwingine. Ishiiiiiy