Mahusiano ya Ushirikina

Mahusiano ya Ushirikina

huskryderz

Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
27
Reaction score
27
Hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la wanawake ambao wanashiriki kupoteza ufahamu wa kimwili au akili wapenzi wao kupitia waganga wa kienyeji. Wanawake wamekuwa wepesi sana kwenda kwa waganga wa kienyeji kutaka kuroga wanaume wao ili waweze kuvuna mali

Au kumfanya mume au mpenzi wake asiwe na akili ya kuchanganua mambo na kufanya kila anachoongea mwanamke kiwe kinasikilizwa sana kama anapokuwa anahitaji fedha au kitu chochote kutoka kwa mpenzi wake.

Unahisi kwanini wanawake wamekuwa wepesi au roho ya kishetani hivyo na kushindwa kuonesha upendo wa dhati kwa wapenzi wao ili wapendwe kiuhalisia?
 
Hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la wanawake ambao wanashiriki kupoteza ufahamu wa kimwili au akili wapenzi wao kupitia waganga wa kienyeji. Wanawake wamekuwa wepesi sana kwenda kwa waganga wa kienyeji kutaka kuroga wanaume wao ili waweze kuvuna mali

Au kumfanya mume au mpenzi wake asiwe na akili ya kuchanganua mambo na kufanya kila anachoongea mwanamke kiwe kinasikilizwa sana kama anapokuwa anahitaji fedha au kitu chochote kutoka kwa mpenzi wake.

Unahisi kwanini wanawake wamekuwa wepesi au roho ya kishetani hivyo na kushindwa kuonesha upendo wa dhati kwa wapenzi wao ili wapendwe kiuhalisia?
Hili nalo ni swali au?
 
Kuna jamaa ambae hakuamini ushirikina, Ila alipoparalizi upande mmoja na kushindwa kufanya kazi, mke akawa ni kila kitu, ndugu wa jamaa wakaamini alifanyiziwa na mke wake. Jamaa bado anashangaa Ila anaelekea kuamini.
 
Hizo ni dalili za Kiyama na Dalili hatma lazima itimie kwahivyo Solution ni Kumkamata Sana Mungu kwenye Kila nyanja ya Maisha yetu...nayeye ndio atatuongoza kuwapata wenza sahihi kwenye Maisha yetu.

La sivyo Shetani kapenya Kila Kona ya mwanadamu hasa kwenye zama zetu hizi tulizonazo sisemi huko mbele itakuwaje.....Nimalizie kwa kucheka [emoji23][emoji38][emoji38]


Kazi tunayo
 
Back
Top Bottom