Mahusiano ya ulaghai

Mahusiano ya ulaghai

Nickson Swai

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2018
Posts
597
Reaction score
553
Habari zenu jamani wanaume wenzangu.

Kuweni makini dada zetu saivi wanatafuta watu wa kitonga(mtu wa kukutumia wa ziada)ili kukidhi shida zake, uliwahi kuona mchezaji wa Azam akalipwa pesa na klabu ya Yanga yangu ni hayo tu saivi kuna demu nilimpata nikajua wangu eti namuomba mambo fulani anakataa.

Dada zetu kama mtu humpendi mwambie hakuna kitu kibaya kama kupotezeana muda alafu wenzetu wanasema What goes around comes around, kuna siku na wewe itakutokea ni hayo tu by Armando.
 
Habari zenu jamani wanaume wenzangu kuweni makini dada zetu saivi wanatafuta watu wa kitonga(mtu wa kukutumia wa ziada)ili kukidhi shida zake,uliwahi kuona mchezaji wa Azam akalipwa pesa na klabu ya Yanga yangu ni hayo tu saivi kuna demu nilimpata nikajua wangu eti namuomba mambo fulani anakataa dada zetu kama mtu humpendi mwambie hakuna kitu kibaya kama kupotezeana muda alafu wenzetu wanasema What goes comes around kuna siku na wewe itakutokea ni hayo tu by Armando.
Ukuona anajileta mwenyewe, jua anataka msaada wa tozo huyo...
Hakuna mwanamke asiye na mwenyewe...
 
Habari zenu jamani wanaume wenzangu.

Kuweni makini dada zetu saivi wanatafuta watu wa kitonga(mtu wa kukutumia wa ziada)ili kukidhi shida zake,uliwahi kuona mchezaji wa Azam akalipwa pesa na klabu ya Yanga yangu ni hayo tu saivi kuna demu nilimpata nikajua wangu eti namuomba mambo fulani anakataa dada zetu kama mtu humpendi mwambie hakuna kitu kibaya kama kupotezeana muda alafu wenzetu wanasema What goes comes around kuna siku na wewe itakutokea ni hayo tu by Armando.

Lipa mahari, oa, weka ndani ujipatie unachotaka
 
Mimi kila siku nasema humu, wewe Mwanaume Tongoza sanaaaaa na wadanganye sanaaaa lakin hakuna kuwapa hata mia kabla ya mtombo
Kuna demu nilimpata mtaani ninaokaa aisee demu ata sijagonga mara anashida ya 5000😀😀mara anataka nimlipie kodi😀😀mara hajala ana njaa anaomba 3000 aisee mbona ni kwere, nikimpanga tukutane guest nimle mbususu anaruka ruka na ukimuona ni sister duh huwezi amini
 
Habari zenu jamani wanaume wenzangu.

Kuweni makini dada zetu saivi wanatafuta watu wa kitonga(mtu wa kukutumia wa ziada)ili kukidhi shida zake,uliwahi kuona mchezaji wa Azam akalipwa pesa na klabu ya Yanga yangu ni hayo tu saivi kuna demu nilimpata nikajua wangu eti namuomba mambo fulani anakataa dada zetu kama mtu humpendi mwambie hakuna kitu kibaya kama kupotezeana muda alafu wenzetu wanasema What goes comes around kuna siku na wewe itakutokea ni hayo tu by Armando.
Kibao sa hivi kimegeuka ni kama wahuni wamegoma kutongoza, sa hivi mademu wanawinda hatari, kama Facebook uwa wanasumbua kinoma na wakinitafuta nikiwahoji ni wenye miaka 28 nahisi na kuendelea wanatafuta kwa nguvu watu wa kuwaoa
 
mlipokutaniana ndio jibu tosha uwe peke yako iweje?

rudi kijijini wakutaftie mlima maharage.
 
Habari zenu jamani wanaume wenzangu.

Kuweni makini dada zetu saivi wanatafuta watu wa kitonga(mtu wa kukutumia wa ziada)ili kukidhi shida zake,uliwahi kuona mchezaji wa Azam akalipwa pesa na klabu ya Yanga yangu ni hayo tu saivi kuna demu nilimpata nikajua wangu eti namuomba mambo fulani anakataa dada zetu kama mtu humpendi mwambie hakuna kitu kibaya kama kupotezeana muda alafu wenzetu wanasema What goes comes around kuna siku na wewe itakutokea ni hayo tu by Armando.
Wenzako wa Kanda Maalumu hawana Muda wa Kuja JF kulia lia..

Au Huna Redio ya Matukio ya Kutisha Nyumbani
 
IMG_6636.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom