ISHERUHINDA
New Member
- May 5, 2011
- 3
- 0
Wapenzi wasomaji habari za kazi? Mimi kuna jambo linanitatiza juu ya suala zima la kimapenzi. Jambo hili ni juu ya watu wenye tabia ya kubadili wanaume (Kwa wasichana na wanawake) na wanawake (Kwa vijana na wazee). Hivi inakuwaje mtu anamiliki mpenzi zaidi ya mmoja na wakati mwingine zaidi ya wanne?? Hivi ni kweli kwamba anapoonja asali kwa kila MZINGA ndipo hamu ya ASALI inapoisha?? AU Ni kipaji cha kufisadi maana UFISADI ni kujilimbikizia MALI na yule anayelimbikiza wanawake au wanaume si FISADI????................. Watu wengi usemekana uenda nje ya ndoa baada ya migogoro ya kifamilia na je, wale ambao hawajaoa na wanafanya kazi ya kuwabadili madada wa watu??????...............