rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,715
Vipi kwa wale wenye mikojo hewa waliodumu miaka 15 hawaku-test???Hvi kwa nini vijana wengi waliochumbiana siku hzi wanaanza kufanya mapenzi kabla ya ndoa?
Mi hata sijui...........ufanyaji wa hayo mambo......(ya shetani).......umezidi sana.........
Mhhhhh!!! Unafaa kuwa mchumba dear!Bidhaa kabla hujalipia lazima uchunguze kama ni nzuri na inaubora unaotakiwa.
Maendeleo ya binadamu katika science na technologia yamechangia makuzi ya watu. Fikiria kabla hakujawa na umeme, asubuhi kuni ilibidi ziwashe mara nyingine zitafutwe, mihogo ichimbwe, ichemshwe ili watu wapate kifungua kinywa. Watoto wa sikuhizi hawajui hata kufagia uwanja asubuhi, akiamka anakimbilia game yake mpaka dada amwite chai tayari. Asubuhi unafungua fridge kuna mkate, mayai, maziwa, butter, unawasha birika ya chai, ndani ya dakika kumi kifungua kinywa kipo tayari. Wanasema watoto wa Millenium wanakuwa haraka sana hata wanascience wamethibitisha hilo.Siku hizi watu wanabarehe kama zamani; lakini zamani watu walioa Mara tu baada ya kubarehe; lakini siku hizi unabarehe huku ukiwa umefauru mtihani wa kidato cha nne; miaka Sita mpaka degree; au mitano! Tatizo unaanza na ndoto nyevu kwa miaka Sita ; bora kuchachua ili kuvuta miaka
Zamani ukimaliza form four chama cha ushirika wanakufuata ukawe meneja masoko; ukipata kazi unaoa; ukimaliza la nane unaajiliwa ; ukishika pesa unaoa; lakini pia walikuwa wakisikia una sauti kubwa wanakuuozesha then unaenda masomoni mke unamwacha maskani.
Lakini zamani pia kuchakachuana kabla ya ndoa kulikuwepo sana ndo mana unakuta kwenu kuna kaka ako au dada ako wa nje!
Nimetumwa kuja kufunga mjadara; asante
Natumaini na wewe wafaa kuwa mume.Mhhhhh!!! Unafaa kuwa mchumba dear!
Na mimi nasubiria jibu...sijawahi fanya hicho kitu kabisa yani
You are sounding so delicious!!Natumaini na wewe wafaa kuwa mume.
........i never believe in miracles but today i do! 
Kila mtu na maisha yake mkuu! wewe fuata yako tu ya wengine yatakuchelewesha

Pima maji Kwa ugoko ucje kukuta ya shingoHvi kwa nini vijana wengi waliochumbiana siku hzi wanaanza kufanya mapenzi kabla ya ndoa?
You are sounding so delicious!!........i never believe in miracles but today i do!
![]()
Nimemaanisha kuwa ulichosema ni kweli, ni kweli kuwa nafaa kuwa mume wako dear!hahahaaaa hujaitimisha swali langu, afu hii lugha inaumiza kichwa hadi nifunue dictionary so mpango.
hahahaaaa sio kwa mageuzi hayo, ilimradi vigezo kutimia.Nimemaanisha kuwa ulichosema ni kweli, ni kweli kuwa nafaa kuwa mume wako dear!
Hivyo vigezo ni vipi my dear?hahahaaaa sio kwa mageuzi hayo, ilimradi vigezo kutimia.
hahahahahaaaaaaaaaBidhaa kabla hujalipia lazima uchunguze kama ni nzuri na inaubora unaotakiwa.