Mahusiano ya kimapenzi kabla ya ndoa

Mahusiano ya kimapenzi kabla ya ndoa

Dunia imebadilika ndiyo maana binadam wamebadilika
 
Kama alie tuumba alitaka tudinyane mpka tufunge ndoa si angetupa izo sehemu za siri tukifunga ndoa.....sasa nini maana ya kutupa mapema means vitumike.
 
Hvi kwa nini vijana wengi waliochumbiana siku hzi wanaanza kufanya mapenzi kabla ya ndoa?
Swala la ndoa hukamilika pale ambapo mahari imetolewa na kukubalika kwa pande zote yaan wanao oana na wazazi wa pande zote mbili hiyo ndio ndoa halali kabisa .hayo mengine huwa ni ya kiimani zaid kulingana na iman ya mtu bunafsi hata usipo tekeleza haina shida labda kwa upande wa imani yako ,maana kuna wasio amini mungu ambao si wakristo wala waislamu je? Ndoa zao si halali? Kama si halali kwa vile tu hazijapita ,msikitini au kanisani ni wapi imethibitishwa hivyo?na hilo andiko lisitoke kwenye biblia au quraan maana hizo nazo ni imani kama zingine zilizoko katika mataifa mengine yasio zitambua imani hizo za biblia na quraan.
 
Kwa hali hii usaliti hautaisha. Ukibeba mimba nitakuoa.Ukibeba mimba shika hii hela ukatoe sbb bado sijajipanga.Hiki ndicho kizaz kipya watu wanachukua uzoef mapemakm mtu unampenda hivyo vya kuuziwa mbuz kweny gunia
 
ni vema kusubiri ndoa ndo mapenzi yafanyike ndo maana watu wanachokana hata kabla ya kufunga ndoa
 
Back
Top Bottom