Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,653
Mahusiano yana gharama sana, kama hauko tayari kubeba hizo gharama ni bora usiingie kwenye mahusiano. Na hizi gharama zinajitokeza pale mmeshakuwa wawili ama mmeshazoeana vya kutosha. Na hizi gharama ni kama hizi:-
- Kumchoka mwenzako na kutaka kumuacha...kama hujakomaa ni rahisi kumuacha,
- Gharama za magonjwa utatakiwa uzibebe wewe...kama hujakomaa utamuacha,
- Gharama za uchakavu wa mwili utatakiwa uzibebe wewe...kama hujakomaa utamuacha,
- Gharama za kifo kama atafariki utatakiwa uzibebe wewe...kama hujakomaa utamuacha,
- Gharama za kujifungua mlemavu utatakiwa uzibebe wewe...kama hujakomaa utamuacha,
- Gharama za changamoto za kimaisha utatakiwa uzibebe wewe....kama hujakomaa utamuacha,
- Gharama za kuridhishana kwenye penzi utatakiwa uzibebe wewe....kama hujakomaa utamuacha
- Gharama za kuzeeka utatakiwa uzibebe wewe...kama hujakomaa utamuacha n.k