Mahusiano na wazungu ni kitanzi

Mahusiano na wazungu ni kitanzi

Mbona huko ulaya mbali sana!,nenda tu hapo Mozambique [emoji1174] Mwanamke mkikombana anabeba hadi boxa yako yaani unafilisiwa hata fukara anakushangaa!
 
Yule jamaaa ni anastahili majina yote mabaya.

Alijua kunikomesha.. Warda? Eeh sitaki kukumbuka ule mwaka [emoji23][emoji23][emoji23]
Duh[emoji848][emoji3]natamani kujua eti
 
Ila hao watu ni nomaa Kwenye ustraight forward na kuwa wawazi. Sio wanaume wetu unapigwa matukio unajiongeza mwenyewe hapa sitakiwi.

Mzungu anakuonesha mapenzi motomoto Hadi siku ya mwisho anakupa kibuti, hahaha sitakaa nisahau nlihisi kuzimia Maana I didn't see it coming. [emoji23][emoji23][emoji23]
Duh
Ninavyowapenda,mbona mnanitisha ss
 
Wapuuz nyie ati mtu anakuacha kwa sms ya sh 50 tu kweli wabongo tuko simple.
 
Mimi sikumuacha
Alinitrack… akakutana na aliyokutana nayo😂
Nikaulizwa.. nikagoma.

Weee si ndio mziki ulipoanzia.. sasa akanambia choose me or huyo mtz, nikachagua mtz.dadeq balaa likazidi 🙌
Vip huyo mtanzania bado mko wote?😂🙈🙈🙈
 
Hakuna kitu kama hicho. Nimeshuhudia wao ndio wanaishia depression.

Mwanamke ni mwanamke tu
 
Bad lucky mtz hata alipo sijui 🤣🤣🤣

Jamaa alinivuruga ubongo mpk maini, sijawahi kujutia kutokuwa part ya mimi kutokea pale.

Miezi kadhaa ikapita, kidogo nikaanza kusahau.. hiyo siku napokea msg namba ya tz ‘salamu zako kutoka kwa flan.. sikutaka kujua kitaendeleaje.
Nilifungua simu toa laini vunja 😂😂

Weee sitaki hata kumkumbuka… alivyokuwa ananitishia eti nimemuumiza na yeye ataniumiza mpaka nijute kumjua.
Aisee watu mnapendana kitoto sana.
 
Bad lucky mtz hata alipo sijui [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jamaa alinivuruga ubongo mpk maini, sijawahi kujutia kutokuwa part ya mimi kutokea pale.

Miezi kadhaa ikapita, kidogo nikaanza kusahau.. hiyo siku napokea msg namba ya tz ‘salamu zako kutoka kwa flan.. sikutaka kujua kitaendeleaje.
Nilifungua simu toa laini vunja [emoji23][emoji23]

Weee sitaki hata kumkumbuka… alivyokuwa ananitishia eti nimemuumiza na yeye ataniumiza mpaka nijute kumjua.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]
 
Back
Top Bottom