Mahusiano na wazungu ni kitanzi

Mahusiano na wazungu ni kitanzi

livewise1

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
837
Reaction score
972
Usije ukajiongopea ku date na mzungu akupende ajitolee mda wake halafu baadae useme unam-dump, kama una mali umefilisika.

Hawa sio kama Wabongo ambao tunaamka asubuhi unamwambia kuanzia leo mi na wewe tusijuane, anakaa kwenye pembe ya kitanda analia na kupenga makamasi anasema Mungu atanilipia halafu inakuwa imeisha hiyooo.

Wazungu ukimwambia kuachana, basi safari yako ya depression imeanzia hapo na uchumi kuyumba au kufa kabisa ndio mwanzo wake.

Kwanza hawakubaligi mahusiano ya kumficha kama chawa kisha anakufanyia matendo ya uungwana mbele ya jamaa na marafiki pia lazima kuna mambo atataka yawe kimaandishi.

Siku umezingua kaka, namba utaisoma!!!
Hawa wakwetu si wanatishiaga kuloga, wazungu anakuletea mwanasheria mnafanya analysis mpaka ya muda uliompotezea. Kiufupi ni hasara tupu na hutokaa usahau.

Naomba wakwetu wasije wakafikia huko tutateseka kishenzi!!
 
Ushapigwa na kitu kizito, usitutishe.

Wewe ulimdanganya huyo mzungu wako ndiyo maana, ila ukiwa open ni watu poa tuu.

Huwa kabla hawajaingia kwenye mahusiano wanapendaga wajue mtakuwa na aina gani ya mahusiano, is it open, friend with benefit ama marriage-wise.

Sasa wewe jifanye unamuambia utamuoa kumbe kichwani mwako unamchukulia just a friend with benefit, then uje ummwage ndio utakipata cha moto.
 
Wanawake duniani wote wanafanana kwa asilimia kubwa
Shida ya mwanamke wa kidhunguuuu anataka amtawale mwanaume
Sisi wanaume wa Africa hatutawaliwi na wanawake
Ila kuna baadhi ya Africa tribes zinatabia ya kutawala wanawake
Mfano, wanawake wakipemba wanapenda kuwakimbia wanaume wa bara kwa sababu ngumu sana wengi wetu kutawaliwa na wanawake. .
 
Usije ukajiongopea ku date na mzungu akupende ajitolee mda wake halafu baadae useme unam-dump, kama una mali umefilisika.

Hawa sio kama Wabongo ambao tunaamka asubuhi unamwambia kuanzia leo mi na wewe tusijuane, anakaa kwenye pembe ya kitanda analia na kupenga makamasi anasema Mungu atanilipia halafu inakuwa imeisha hiyooo.

Wazungu ukimwambia kuachana, basi safari yako ya depression imeanzia hapo na uchumi kuyumba au kufa kabisa ndio mwanzo wake.

Kwanza hawakubaligi mahusiano ya kumficha kama chawa kisha anakufanyia matendo ya uungwana mbele ya jamaa na marafiki pia lazima kuna mambo atataka yawe kimaandishi.

Siku umezingua kaka, namba utaisoma!!!
Hawa wakwetu si wanatishiaga kuloga, wazungu anakuletea mwanasheria mnafanya analysis mpaka ya muda uliompotezea. Kiufupi ni hasara tupu na hutokaa usahau.

Naomba wakwetu wasije wakafikia huko tutateseka kishenzi!!
We Jamaa muongo sana, Wazungu ndoa wengi wao wanataka muwekeane masharti mahusiano siyo ishu yanavunjika muda wowote
 
Kama alifall na viatu vyake? Wallah hayavunjiki kirahisi…
Acha uoga yanavunjika tu, Tena wao ni simple kwasababu mahusiano yao mengi huwa hakuna ahadi za ndoa kama huku Tz, Binti ukiwanae kwenye mahusiano mwezi tu anataka kujifanya ndiye mke mtarajiwa
 
Acha uoga yanavunjika tu, Tena wao ni simple kwasababu mahusiano yao mengi huwa hakuna ahadi za ndoa kama huku Tz, Binti ukiwanae kwenye mahusiano mwezi tu anataka kujifanya ndiye mke mtarajiwa
It depends
 
Usije ukajiongopea ku date na mzungu akupende ajitolee mda wake halafu baadae useme unam-dump, kama una mali umefilisika.

Hawa sio kama Wabongo ambao tunaamka asubuhi unamwambia kuanzia leo mi na wewe tusijuane, anakaa kwenye pembe ya kitanda analia na kupenga makamasi anasema Mungu atanilipia halafu inakuwa imeisha hiyooo.

Wazungu ukimwambia kuachana, basi safari yako ya depression imeanzia hapo na uchumi kuyumba au kufa kabisa ndio mwanzo wake.

Kwanza hawakubaligi mahusiano ya kumficha kama chawa kisha anakufanyia matendo ya uungwana mbele ya jamaa na marafiki pia lazima kuna mambo atataka yawe kimaandishi.

Siku umezingua kaka, namba utaisoma!!!
Hawa wakwetu si wanatishiaga kuloga, wazungu anakuletea mwanasheria mnafanya analysis mpaka ya muda uliompotezea. Kiufupi ni hasara tupu na hutokaa usahau.

Naomba wakwetu wasije wakafikia huko tutateseka kishenzi!!
Sheria zinaruhusu ndio maana wanawake wa mabilionea wanazimalizia kesi za taraka UK maana wana uhakika wa kuondoka na ukwasi wa maana
 
Ila hao watu ni nomaa Kwenye ustraight forward na kuwa wawazi. Sio wanaume wetu unapigwa matukio unajiongeza mwenyewe hapa sitakiwi.

Mzungu anakuonesha mapenzi motomoto Hadi siku ya mwisho anakupa kibuti, hahaha sitakaa nisahau nlihisi kuzimia Maana I didn't see it coming. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom