Mahusiano na wazungu ni kitanzi

Mahusiano na wazungu ni kitanzi

Wazungu ndo ivo ukipendana nao utanzani mapenzi hayataisha leo wala kesho.Nakumbuka bint mmoja wa kizungu,tumekutana nilipopita kijijin kwao nikamchukua na kumleta mjini,miaka minne na yule bint,christmass,easter naenda kwa wakwe,nikajua haya ndo maisha. Siku alositisha mahusiano nilishangaa,nikajiambia moyoni labda kama angekuwa mbongo mwenzangu angekumbuka wema nilomfanyia,lakin ndio ivo tena,mpaka leo sitaki hata kuwasikia.
Umenikumbusha zubeda wa prof jay na Ferouz ~ nikisaidieje. Kumbe hata unyamwezi wapo😂😂😂
 
Hizo mambo sio za kufurahia kama baadhi ya wadada Wanavyo furahia hum wanasahau kuwa ata hapa bongo sheria ya ndoa kama mwanamke akivunja uchumba mwanaume anaruhusiwa kudai vitu vyake vyote na kulipwa gharama zake zote alizomgharamikia huyo mwanamke wakati wa uchumba. Ila ni vile wanaume wa bongo hatuitaji makuu na hatujui sheria
 
Usije ukajiongopea ku date na mzungu akupende ajitolee mda wake halafu baadae useme unam-dump, kama una mali umefilisika.

Hawa sio kama Wabongo ambao tunaamka asubuhi unamwambia kuanzia leo mi na wewe tusijuane, anakaa kwenye pembe ya kitanda analia na kupenga makamasi anasema Mungu atanilipia halafu inakuwa imeisha hiyooo.

Wazungu ukimwambia kuachana, basi safari yako ya depression imeanzia hapo na uchumi kuyumba au kufa kabisa ndio mwanzo wake.

Kwanza hawakubaligi mahusiano ya kumficha kama chawa kisha anakufanyia matendo ya uungwana mbele ya jamaa na marafiki pia lazima kuna mambo atataka yawe kimaandishi.

Siku umezingua kaka, namba utaisoma!!!
Hawa wakwetu si wanatishiaga kuloga, wazungu anakuletea mwanasheria mnafanya analysis mpaka ya muda uliompotezea. Kiufupi ni hasara tupu na hutokaa usahau.

Naomba wakwetu wasije wakafikia huko tutateseka kishenzi!!

Kwa wale wanaotaka kuoa wazungu labda waje inbox niwape ushauri kutokana na first hand experience.

Mke wangu wa kwanza alikuwa mzungu nilishi naye kama miaka 9 hivi kabla ya divorce. Nina mtoto naye now almost 10 year, binti mzuri sana. Mwingine ninaye ila ni mke wa pili coz baadae nilichukua mbongo ndo nimemuoa kwa makaratasi kabisa.

Huyu mzungu wangu mke wa pili tuna mtoto mmoja ametimiza mwaka mmoja sasa na kibendi cha pili kitashuka December.

Only kwa wale wanaotaka kuoa au wenye uahika wa kuwanasa wazungu ndo wanitafute kwa ushauri.

Ni wanyama pasua kichwa hatari lakini.
 
Na linachanganya haswaaa,mi ngoja nianze kujituliza kuanzia kesho
sasa mm lilichanganya nikapush sim kwa mtu nikabakiwa na sim ambayo uwez weka lain yenyewe ni had wireless tu ndio maana humu naonekana mara moja moja.
Sasa ww utaweza kwel
 
sasa mm lilichanganya nikapush sim kwa mtu nikabakiwa na sim ambayo uwez weka lain yenyewe ni had wireless tu ndio maana humu naonekana mara moja moja.
Sasa ww utaweza kwel
Nitaweza,nipe siku ngapi tu
 
Kwa wale wanaotaka kuoa wazungu labda waje inbox niwape ushauri kutokana na first hand experience.

Mke wangu wa kwanza alikuwa mzungu nilishi naye kama miaka 9 hivi kabla ya divorce. Nina mtoto naye now almost 10 year, binti mzuri sana. Mwingine ninaye ila ni mke wa pili coz baadae nilichukua mbongo ndo nimemuoa kwa makaratasi kabisa.

Huyu mzungu wangu mke wa pili tuna mtoto mmoja ametimiza mwaka mmoja sasa na kibendi cha pili kitashuka December.

Only kwa wale wanaotaka kuoa au wenye uahika wa kuwanasa wazungu ndo wanitafute kwa ushauri.

Ni wanyama pasua kichwa hatari lakini.

Halaf wachoyo wa chakula [emoji16][emoji16]
 
Usije ukajiongopea ku date na mzungu akupende ajitolee mda wake halafu baadae useme unam-dump, kama una mali umefilisika.

Hawa sio kama Wabongo ambao tunaamka asubuhi unamwambia kuanzia leo mi na wewe tusijuane, anakaa kwenye pembe ya kitanda analia na kupenga makamasi anasema Mungu atanilipia halafu inakuwa imeisha hiyooo.

Wazungu ukimwambia kuachana, basi safari yako ya depression imeanzia hapo na uchumi kuyumba au kufa kabisa ndio mwanzo wake.

Kwanza hawakubaligi mahusiano ya kumficha kama chawa kisha anakufanyia matendo ya uungwana mbele ya jamaa na marafiki pia lazima kuna mambo atataka yawe kimaandishi.

Siku umezingua kaka, namba utaisoma!!!
Hawa wakwetu si wanatishiaga kuloga, wazungu anakuletea mwanasheria mnafanya analysis mpaka ya muda uliompotezea. Kiufupi ni hasara tupu na hutokaa usahau.

Naomba wakwetu wasije wakafikia huko tutateseka kishenzi!!
Highest level of civilization
 
Ushapigwa na kitu kizito, usitutishe.

Wewe ulimdanganya huyo mzungu wako ndiyo maana, ila ukiwa open ni watu poa tuu.

Huwa kabla hawajaingia kwenye mahusiano wanapendaga wajue mtakuwa na aina gani ya mahusiano, is it open, friend with benefit ama marriage-wise.

Sasa wewe jifanye unamuambia utamuoa kumbe kichwani mwako unamchukulia just a friend with benefit, then uje ummwage ndio utakipata cha moto.
Ha ha ha umemaliza
 
Back
Top Bottom