sweet lady
Member
- Oct 5, 2012
- 7
- 1
hivi kwanini siku hizi watu uanza mahusiano ktk umri mdogo ata kutenda tendo la ndoa.?tofauti na enzi za mababu zetu?
Umri mdogo unaouongelea ni upi?hivi kwanini siku hizi watu uanza mahusiano ktk umri mdogo ata kutenda tendo la ndoa.?tofauti na enzi za mababu zetu?
Mimi sioni kama siku hizi watu wanaanza mambo haya katika umri mdogo ila tu niseme kuwa siku hizi mambo haya yamekuwa wazi sana tofauti na zamani.
Zamani ndio waliokuwa wanaongoza kwa kufanya matendo haya katika umri mdogo ila tu kulikuwa na taratibu zake tofauti na sasa,kwa mfano binti alikuwa akiolewa katika umri wa kuanzia miaka 14 hata chini ya hapo ikitegemea na ukuaji wake,hivyo kusema siku hizi tendo linafanyika mapema zaidi si kweli.
maisha yamebadilika kiasi, na najibu hili swali nikiwa na mkanganyiko wa hiyo mapema unaipima kwa umri au darasa.
Mababu zetu walikuwa wanaanza wakiwa wadogo sana, sema walikuwa wanaoa au kuolewa.
Zamani binti akimaliza darasa la nne au la saba na wengine hawakwenda shule kabisa anatafutiwa mme anaolewa kati ya umri wa miaka 14 -18.
Leo binti unasoma hadi chuo kikuu unamaliza na umri wa miaka 25, unategemea uitunze tu hadi ndoa?
Kingine hata umri wa kuishi mababu zetu ulikuwa mkubwa, leo 'life expectancy' imepungua sasa ukiendelea kuitunza si utakufa kabla hujafaidi mzao wa mizabibu?
Hata baolojia ya miili ya watoto inadadilika kiaina, enzi ya nyuma kidogo binti alikuwa anavunja ungo akiwa na miaka 13 hadi 18, siku hizi watoto baadhi wanaanza wakiwa mna miaka 10, hii ni dalili tosha baolijia ya mwili wake iko tayari kuupokea mshedede.
Hao wamiaka 12 kusema ukweli mimi bado sijashuhudia. Labda mtaani kwakoUmri mdogo unaouongelea ni upi?
Enzi za mababu hatukuwepo, hivyo watu waliotutangulia wana-take advantage kutudanganya.
Enzi za mababu watu walikuwa wanaanza mapenzi mapema zaidi na ndoa mapema zaidi. Na ilikua sio ajabu kusikia mwanamke wa umri wa kati, amezalishwa watoto kumi au zaidi, sasa je alianza kuzaa akiwa na umri gani?
Vitabu vya dini ni vya zamani lakini pia utakuta mtoto wa kike alikua halali akiwa 12yrs old, umri huu ni wa mtoto wa darasa la tano ambapo wengi wa watoto wa siku hizi huanza mapenzi.
Hakuna ukweli katika hilo. Haya ni maneno wanayoyatumia waliotuzidi umri ili kuweza kujaribu kuwa-control vijana.
jaman kwan kuna sweetlady mwngne?coz nackia aje original o jina limefanana,
maisha yamebadilika kiasi, na najibu hili swali nikiwa na mkanganyiko wa hiyo mapema unaipima kwa umri au darasa.
Mababu zetu walikuwa wanaanza wakiwa wadogo sana, sema walikuwa wanaoa au kuolewa.
Zamani binti akimaliza darasa la nne au la saba na wengine hawakwenda shule kabisa anatafutiwa mme anaolewa kati ya umri wa miaka 14 -18.
Leo binti unasoma hadi chuo kikuu unamaliza na umri wa miaka 25, unategemea uitunze tu hadi ndoa?
Kingine hata umri wa kuishi mababu zetu ulikuwa mkubwa, leo 'life expectancy' imepungua sasa ukiendelea kuitunza si utakufa kabla hujafaidi mzao wa mizabibu?
Hata baolojia ya miili ya watoto inadadilika kiaina, enzi ya nyuma kidogo binti alikuwa anavunja ungo akiwa na miaka 13 hadi 18, siku hizi watoto baadhi wanaanza wakiwa mna miaka 10, hii ni dalili tosha baolijia ya mwili wake iko tayari kuupokea mshedede.