Mahusiano na umri mdogo

Mahusiano na umri mdogo

hivi kwanini siku hizi watu uanza mahusiano ktk umri mdogo ata kutenda tendo la ndoa.?tofauti na enzi za mababu zetu?

Sababu hasa ni urahisi wa kupatikana nyenzo za kujenga uhusiano na utendaji wa ngono.
Watoto wa siku hizi wana nafasi nzuri ya kujua nini ngono kwani wana nyenzo nyingi za kuwafundisha kiasi hata tunadai kuwa elimu hiyo ifunzwe shuleni.
Watoto wa siku hizi wanafunzwa mapema kujitayarisha kwa mahusiano na matendo ya ngono kwa njia tofauti ikiwa pamoja na mavazi na mapambo.
Watoto wa siku hizi wanafundishwa kuwa ili uwe maarufu basi uwe tofauti na maadili yanayoitwa yaliyopitwa na wakati.
Watoto wa siku hizi wanaachiwa faragha ya kutosha kwa jinsia mbili kumaliza maumbile kwani hakuna linalofuata panapo faragha kati ya mwanamke na mwanamume zaidi ya kufuatia tendo la ndowa.
 
Kabla ya yooote naomba aje sweetlady original niambiwe nini kinaendelea hapa! Lol.

sweet lady mgeni unatumia vigezo gani dear? Mahusiano kwa wanawake yalikua yakianza mapema toka enzi za kale, tofauti ni kuwa enzi za mababu binti akivunja ungo (haijalishi ana miaka 14) alikuwa akiolewa.. whereas sasa hivi watoto wanajipeleka wenyewe tokana na sababu mbali mbali baadhi zikiwa hizi;


  1. Wazazi kuwa busy mno.
  2. Utamaduni wa kuiga toka nje unakuwa kwa kasi.
  3. Tabia ya kuwaachia watoto simu.
  4. Kushuka kwa maadili, kaka/baba zetu hawaona aibu kuwavulia watoto chupi.
  5. Tamaa ya maisha; hasa kutaka vitu nje ya uwezo.
  6. Umasikini uliokithiri.
  7. Malezi mabaya kwa baadhi ya wazazi.
  8. Kukua kwa matumizi ya internet yanaleta balaa pia.
  9. n.k

Naona uko post ya pili... Karibu sana JF. Pamoja saana.

Haki ya nani... Mizee mizimaaa na vitambi vyao haina hata chembe ya aibu.!!:lol:.. Kisa cha kuja kuwatisha watoto wa watu na hiyo mitumbo iliyofura kama chura. Mmmoja alidiriki -eti anajifanya "handsome boy", kuzengea ka-binti kangu...!!
Nikamwambia nitakutoa hiyo gesi iloyajaa tumboni.
 
Kabla ya yooote naomba aje sweetlady original niambiwe nini kinaendelea hapa! Lol.

sweet lady mgeni unatumia vigezo gani dear? Mahusiano kwa wanawake yalikua yakianza mapema toka enzi za kale, tofauti ni kuwa enzi za mababu binti akivunja ungo (haijalishi ana miaka 14) alikuwa akiolewa.. whereas sasa hivi watoto wanajipeleka wenyewe tokana na sababu mbali mbali baadhi zikiwa hizi;


  1. Wazazi kuwa busy mno.
  2. Utamaduni wa kuiga toka nje unakuwa kwa kasi.
  3. Tabia ya kuwaachia watoto simu.
  4. Kushuka kwa maadili, kaka/baba zetu hawaona aibu kuwavulia watoto chupi.
  5. Tamaa ya maisha; hasa kutaka vitu nje ya uwezo.
  6. Umasikini uliokithiri.
  7. Malezi mabaya kwa baadhi ya wazazi.
  8. Kukua kwa matumizi ya internet yanaleta balaa pia.
  9. n.k

Naona uko post ya pili... Karibu sana JF. Pamoja saana.

Hehehehe wifi mie pia sijui nini kinaendelea lol.....nashangaa tu jina limeibwa hahaaha mie ndie sweetlady original sijui huyu mwingine katokea nchi ipi...... Plz Paw , INNOVATOR , Invisible popote mlipo nisaidieni kujua hii inakuwaje mbona majina yanafanana?
 
Last edited by a moderator:
sweetlady umelimwa ban au imekuwaje? halafu mods mambo gani haya system inakubali majina yanayofanana hata kama katikati kuna space.....

Back to sweet lady,
utamdawazi na mmomonyoka wa maadili unachangia, siku hizi watoto toka primary wanajua kusex, mtoto wa miaka 4 anajuaa mama anazaa wakati enzi zile unaambiwa watoto wanaokotwa....

Pia mijanaume mibazazi imezidi inaenda kulaghai watoto hadi wa primary....

Bila kusahau wazazi wa siku hizi mmezidi uzungu, enzi zetu mtu mzima yoyote ni mzazi, akikufuma vichochoroni na janaume au akiwakuta vijana wamekumbatia uchochoroni unaweza kuwaadhibu sasa hivi thubutu kuadhibu mtoto wa mtu uone.....

Wazazi pia hawana muda wa kukaa na kuzungumza na watoto, na malezi wameachiwa housegirls
nk
nk
nk

Hata sijalimwa bana my dear yaani nimebanwa afu nikapotea kidogo tu kurudi tayari Paw keshauza jina langu lolest!.....ngoja najitahidi kufikisha malalamiko kunakohusika!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom