Mahusiano na maisha ya Ughaibuni

Mahusiano na maisha ya Ughaibuni

Tupo tunaojitambua nyie mnahangaika na instagram wanawake wanaojielewa hawako huko mkuu
Isemee nafsi yako ila wengine mhh!,hakuna bin adam asiekuwa na mapungufu ila baadhi ya kina dada ni mtihani kwakweli
 
Kwema lkn! Uje basi unitembelee huku unakokuita ughaibuni labda nitaijua hiyo child support kupitia wewe
Nilivyokuwa nausubiri mwaliko kwa hamu!!! Nitumie nauli basi.
 
Issue ni pale unapoingia kwenye mahusiano na mwanamke wa ughaibuni uliko, ameshakuamini na kumbe home una mke na watoto na mbaya zaidi mke wa home hajawahi kukufanyia kosa lolote yaani amekuvumilia kutoka chini hadi hapo ulipo. Huyu wa ugenini ashafunga masuala ya kuzaa na anamuhitaji mtoto wako umlete ughaibuni asome (maana ulishawahi kumwambia nina mtoto mmoja tu nilizaa na girlfriend wangu tuliyeachana nae). Maisha unaona kabisa yana future lkn nyumbani ndo hivyo hukuwaweka wazi. Anapanga kuja na wewe nyumbani kwenu kuwasalimia wazazi harafu wazazi ni wakristu wanaoamini katika ndoa moja na mke wako aliyepo home ndiye wanampigia saluti. Duh yaani inabaki tu kuwa KAMA.......
hiki ndicho ulichopitia nini mkuu maana umeongea kwa uchungu kweli
 
hiki ndicho ulichopitia nini mkuu maana umeongea kwa uchungu kweli
Ndiyo ninayoyapitia kwa mwanamke raia wa Marekani (aliolewa huko) ila anaishi kikazi South Africa na chimbuko lake (mababu zake Botswana
 
Back
Top Bottom