Mahusiano na maisha ya Ughaibuni

Mahusiano na maisha ya Ughaibuni

Kama mtoto ni wako kwanini uogope kuhusu Child support? Kwahiyo ukizaa na wanyumbani ndio hutakiwi kutoa Child support?

Kwa uzi huu, kama upo bongo sidhani kama kwa Makonda ulikosa!
wewe Uzi mzima umeishia kuona hapo tu ...wake up dude"" mtu kaelezea vyema kabisa ..kuwa unaweza ukaitoa hiyo child support nabado ukakosa haki ya kuonana na Watoto wako "" yaani baba una kuwa huna tofauti na jirani tu"" lakini hilo hujaliona waanza kukomaa kwenye child support tu "" daaah wabongo ipo kazi ktika kuelewa """
 
Kuna jamaa analia kaoa mzungu kumbe mzungu mwnyw ni msagaji anaishi kwa kupiga nyeto mpk anajuta miaka karibia hamsini hana mtoto ana stress za kufa mtu mzungu kambania hataki kuzaaa

Tulieni na sie tu hata km hatuna kitu wajameni
hahaaa
 
Issue ni pale unapoingia kwenye mahusiano na mwanamke wa ughaibuni uliko, ameshakuamini na kumbe home una mke na watoto na mbaya zaidi mke wa home hajawahi kukufanyia kosa lolote yaani amekuvumilia kutoka chini hadi hapo ulipo. Huyu wa ugenini ashafunga masuala ya kuzaa na anamuhitaji mtoto wako umlete ughaibuni asome (maana ulishawahi kumwambia nina mtoto mmoja tu nilizaa na girlfriend wangu tuliyeachana nae). Maisha unaona kabisa yana future lkn nyumbani ndo hivyo hukuwaweka wazi. Anapanga kuja na wewe nyumbani kwenu kuwasalimia wazazi harafu wazazi ni wakristu wanaoamini katika ndoa moja na mke wako aliyepo home ndiye wanampigia saluti. Duh yaani inabaki tu kuwa KAMA.......
 
Hiyo ni kweli chid support ni lazima pale unapoachana na mke au mpenzi hiyo ndio ilimkimbiza le mutuz akirudi akifika airport lazima apokokelewe na pingu moja kwa moja jela
siku hizi umeoa mbona umepotea hivi
 
Back
Top Bottom