unajitafutia demu kwa mgongo wa mtumi nilijuaga madomozege washaisha
Tatizo umeweka mbwembwe kibao hadi uzi umekuwa mrefu wakati ilikuwa ni kuweka vigezo vya huyo unayedai ni rafiki yako na sifa anazozihitaji kwa mwanamke anayemuhitaji
Safi sana mzee baba, huo ndio busara wa kibinadam, na nikwa wachachetu





Haya mambo ya kuwasingizia marafiki yaishe mwaka huu,, muwe mnajipoint direct mpate msaada wa haraka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vitu muhimu umeviacha mfano Dini ya huyo mlengwa.
Anataka mwanamke mwenye sofa zipi.
Hii inamfanya mtu anajitathimi kwa hatua ya kwanza kama anafit then ndio aje pm sio mtu anakuja huko unaanza ooh anatakiwa mwembamba wewe mnene kupotezeana muda.
Weka vigezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo ya kuwasingizia marafiki yaishe mwaka huu,, muwe mnajipoint direct mpate msaada wa haraka
Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa hamnazo kabisa unaamua kujipigia promo huku unamsingizia rafii yako. sa unashidwa nn wakt shy madem wamejaa tele au ndo udomo zege.
umeniangusha sana we muraa
Sent using Jamii Forums mobile app