Mahusiano: Kuna mwenza bora kuliko mwenzie?

Mahusiano: Kuna mwenza bora kuliko mwenzie?

Kuna watu hawaridhiki

Ukinenepa unaambiwa umenenepa sana, ukikonda unaambiwa unashida gani umekonda mpk unatisha

Ukivaa suruali unaambiwa imekuchora umbo, ukivaa skirt unaambiwa uvalie matshirt makubwa
Saa zingine ukivaa nguo unaambiwa kila siku unavaa hiyo hiyo mpk wamekukremu

Acha mkuu
kuna watu kwenye mahusiano wanajifanya wao ndio vinara! mwingine unafanyiwa msaada kwenye tuta! wanaboa.wao ndio wako perfect!
 
Mahusiano lazima yawe na kuchukuliana mizigo as kila mtu ana mapungufu yake. Ila me naona kama mtu anaona nina upungufu fulani afu hawezi kuvumilia, basi aniache tu no matter how namvumilia ya kwake. Asijilazimishe kuwa kwenye mahusiano yasiyompa furaha.
1. Kuna weakness ambazo zinaweza zikabadilika/kuisha kabisa
2. Kuna weakness ambazo zitapungua kidogo (Eg mtu alikuwa mlevi ila now anakunywa responsibly
3. Kuna weakness ambazo haziwezi kubadilika kamwe. So it's either uubebe huo mzigo kwa kuwa mvumilivu au usepe tu mapema.
Tatizo linakuja hapa, Kila mtu anaona weakness ya mwenzake ndo mbaya zaidi kuliko ya kwake. Me hata mtu awe ananivumilia kwa mapungufu yangu 100, afu yeye akawa na weakness moja tu "maneno makali", khaaa ntamuacha tu aende kwa kweli nisije kufa kwa presha. Nipo sensitive na maneno mnooooo, maneno makali yananiumizaga Mmh. Ndoa ni kuridhiana na kuweza kubebeana mizigo yenu (sio mizigo yoyote inabebeka lakini).
Mimi mwanake akinitangazia kuwa ataweza kuniacha keshatangaza vita.siwezi kaa nimjari.najua ni wa kupita
 
Mahusiano lazima yawe na kuchukuliana mizigo as kila mtu ana mapungufu yake. Ila me naona kama mtu anaona nina upungufu fulani afu hawezi kuvumilia, basi aniache tu no matter how namvumilia ya kwake. Asijilazimishe kuwa kwenye mahusiano yasiyompa furaha.
1. Kuna weakness ambazo zinaweza zikabadilika/kuisha kabisa
2. Kuna weakness ambazo zitapungua kidogo (Eg mtu alikuwa mlevi ila now anakunywa responsibly
3. Kuna weakness ambazo haziwezi kubadilika kamwe. So it's either uubebe huo mzigo kwa kuwa mvumilivu au usepe tu mapema.
Tatizo linakuja hapa, Kila mtu anaona weakness ya mwenzake ndo mbaya zaidi kuliko ya kwake. Me hata mtu awe ananivumilia kwa mapungufu yangu 100, afu yeye akawa na weakness moja tu "maneno makali", khaaa ntamuacha tu aende kwa kweli nisije kufa kwa presha. Nipo sensitive na maneno mnooooo, maneno makali yananiumizaga Mmh. Ndoa ni kuridhiana na kuweza kubebeana mizigo yenu (sio mizigo yoyote inabebeka lakini).
Itabidi nianze kukuzoesha aisee..Usije ukapata shida huko mbeleni
 
Mimi mwanake akinitangazia kuwa ataweza kuniacha keshatangaza vita.siwezi kaa nimjari.najua ni wa kupita
Kuna mmoja aliwahi kuniambia Kaboom mi nadhani tupeane nafasi kidogo kwa muda..Nikamwambia poa..Bila hata ya kumuuliza sababu..Zen baadae yeye ndo anaanza kulalama..Anauliza kwann hata siulizi sababu ya yeye kusema hivyo..Nikamwambia haina maana coz sidhani kama itasaidia..Akaanza ohh we inaonekana ulikuwa haunipendi na ulikuwa unasubiri moment kama hii tu itokee..Nikabaki nacheka tu..Hilo penzi liliota mbawa aisee
 
Au mwingine anakwambia uende wapi unadhani unaweza mpata mwanaume au mwanamke kama mimi.....teh teh teh yaani mtu akisema hivi ndo kanipa tiketi na hela ya kula njiani daadeki ntolee hiyo kimya kimya siwezi kaa hapo maana ni kama ananipimia kua bila yeye siwezi kuishi kitu ambacho si sahihi....katika mahusiano tunapaswa kupeana nafasi sawa kujaliana na kupenda na si mmoja kujiona bora zaidi ya mwenzake inakera kweli yani
 
Kuna mmoja aliwahi kuniambia Kaboom mi nadhani tupeane nafasi kidogo kwa muda..Nikamwambia poa..Bila hata ya kumuuliza sababu..Zen baadae yeye ndo anaanza kulalama..Anauliza kwann hata siulizi sababu ya yeye kusema hivyo..Nikamwambia haina maana coz sidhani kama itasaidia..Akaanza ohh we inaonekana ulikuwa haunipendi na ulikuwa unasubiri moment kama hii tu itokee..Nikabaki nacheka tu..Hilo penzi liliota mbawa aisee
kaboom wanazingua hawa!.akiona umekita nanga anaanzakutingisha kiberiti kama kimejaa.
 
Au mwingine anakwambia uende wapi unadhani unaweza mpata mwanaume au mwanamke kama mimi.....teh teh teh yaani mtu akisema hivi ndo kanipa tiketi na hela ya kula njiani daadeki ntolee hiyo kimya kimya siwezi kaa hapo maana ni kama ananipimia kua bila yeye siwezi kuishi kitu ambacho si sahihi....katika mahusiano tunapaswa kupeana nafasi sawa kujaliana na kupenda na si mmoja kujiona bora zaidi ya mwenzake inakera kweli yani
kweli mkuu mwingine kujiaona ndo shababi.mtoa kauli ya mwisho juu ya penzi! aisee sipendi kutishiwa maisha! Mungu katupa maisha na uhuru halafu mazafanta unadai utaniacha au siwezi pata kifaa kingine kama yeye! mbona totoz kibao nje huko zinaombea ziwe zimesajiriwa.
 
No sio kunigusa...

Umetufumba mikono tusichangie eti ambao hatujapitia matisho ya kuachwa[emoji17]
unakuwa hujui inavyofeel huna uzoefu utaleta assumption zisizo za kweli hapa.ukiongea kitu cha kweli pointi inaingia mpaka moyoni.
 
kweli mkuu mwingine kujiaona ndo shababi.mtoa kauli ya mwisho juu ya penzi! aisee sipendi kutishiwa maisha! Mungu katupa maisha na uhuru halafu mazafanta unadai utaniacha au siwezi pata kifaa kingine kama yeye! mbona totoz kibao nje huko zinaombea ziwe zimesajiriwa.
Haipendezi kwa kweli
 
Mahusiano lazima yawe na kuchukuliana mizigo as kila mtu ana mapungufu yake. Ila me naona kama mtu anaona nina upungufu fulani afu hawezi kuvumilia, basi aniache tu no matter how namvumilia ya kwake. Asijilazimishe kuwa kwenye mahusiano yasiyompa furaha.
1. Kuna weakness ambazo zinaweza zikabadilika/kuisha kabisa
2. Kuna weakness ambazo zitapungua kidogo (Eg mtu alikuwa mlevi ila now anakunywa responsibly
3. Kuna weakness ambazo haziwezi kubadilika kamwe. So it's either uubebe huo mzigo kwa kuwa mvumilivu au usepe tu mapema.
Tatizo linakuja hapa, Kila mtu anaona weakness ya mwenzake ndo mbaya zaidi kuliko ya kwake. Me hata mtu awe ananivumilia kwa mapungufu yangu 100, afu yeye akawa na weakness moja tu "maneno makali", khaaa ntamuacha tu aende kwa kweli nisije kufa kwa presha. Nipo sensitive na maneno mnooooo, maneno makali yananiumizaga Mmh. Ndoa ni kuridhiana na kuweza kubebeana mizigo yenu (sio mizigo yoyote inabebeka lakini).



Kwenye namba 2 hapo umenigusa dada hebu pitia kwa muuza bucha chukua kilo sita za nyama nakuja kulipa
 
Hahahah nashukuru hujawa mwanaume. Ilikuwa ukinijibu vibaya basi ntakujibu jibu moja zuri sana na utalikumbuka mwaka mzima. Tatizo sasa nikishakaa baadaye, roho inaanza kuniuma "kwa nini fulani nilimjibu vile, nimemuumiza", yani inaniumiza mimi mwenyewe tena zaidi. So nikajikuta najifunza tu kukaa kimya, ukinikwaza/ kunijibu vibaya nakuangalia tu usoni bila kukujibu naondoka. Ntarudi baadaye hasira zikishaisha afu najikuta uzito wa ile issue umeshapungua so napotezea tu kama vipi. Tatizo ipo siku utanipa maneno yako makali afu ukute na mimi nimeamka vizuri, Aaah ntakufurahisha afu lazima pozi na mimi litapungua tu ndo ntakuwa nishaharibu teh
kukaa kimya ni jambo zuri.japo mwingine anakuchukulia poa ukiwa kimyaa.
 
Hahahaa yani mi mtu akiniboa huwa nashindwa kuremba aisee..... Kama sitampa kubwa basi ntapotezea tu namsamehe ila haiwezi kutokea mtu amenitibua af nimwambie kwa kumbembeleza
sema yote lkn usitishie utamuacha
Mmh me najitahidigi kupotezea, ila siku yakinishinda hata hutoamini kama ni mimi. Afu kuongea kwa mdomo siwezagi so nakuandikia hilo gazeti utasoma mwaka mpya hadi mwaka mpya mwingine. Afu kuna wale wanafanyaga makusudically kukukwaza, hawa nawavutiaga kasi then nawapa moja tu afu akinuna akicheka ni juu yake na hapa roho hainiumi kabisa,
 
Mmh me najitahidigi kupotezea, ila siku yakinishinda hata hutoamini kama ni mimi. Afu kuongea kwa mdomo siwezagi so nakuandikia hilo gazeti utasoma mwaka mpya hadi mwaka mpya mwingine. Afu kuna wale wanafanyaga makusudically kukukwaza, hawa nawavutiaga kasi then nawapa moja tu afu akinuna akicheka ni juu yake na hapa roho hainiumi kabisa,
gazeti? hii hatari unaacha na ushahidi!
 
kaboom wanazingua hawa!.akiona umekita nanga anaanzakutingisha kiberiti kama kimejaa.
Sure..Halafu kuna wengine hawapendeki aisee..Hata umpende vipi still your love is never good enough
 
Binafsi sijawahi kumwacha wala kuachwa kwa sababu kama hizo.
Ngoja waje!
 
Back
Top Bottom