Mahusiano kati ya uislamu na ushairi

Idd Ninga

JF-Expert Member
Nov 18, 2012
5,136
4,294
Nimejaribu kukutana na washairi wengi ila wengi wao ni waislamu ingawa na wakristo wapo lakini pana mahusiano gani kati ya uislamu na ushairi ?
 
Ushairi wa kiswahili ni mtindo wa muziki ulioasisiwa na waswahili wa pwani walioiga kwa kiasi kikubwa kutoka kwa waarabu. Waarabu walifika pwani ya Africa mashariki na walieneza uislamu pia.
 
Waislam hutumia mashairi ktk kumsifia mtume Muhammad (s.a.w).
mf:Kuna kitabu cha mashairi kinaitwa MAURIDI (Baraznje) hutumika ktk sherehe za kiislam kumsifia,na kuelezea historian ya Maisha yake toka kuzaliwa kwake mpaka kufa kwake Muhammad (s.a.w) kwa kusoma hayo mashairi.

Kitabu hiko kilitungwa na Saydina Jafarry baada ya kufa mtume Muhammad (s.a.w).Wanazuoni wakaona kinafaa kutumika ktk sherehe za kidini kama kumbukumbu ktk utajo wake na kumsifu kwake
Lakini pia mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa akiwaimbia mashairi Wake zake kama kuwasifia na kuwaonyesha jinsi gani anavyo wapenda.kwahio Mashairi ni moja ya tamaduni za kiislamu
na hio ndio sababu ya waislamu kupenda kuimba na kutunga mashairi.
 
Nimejaribu kukutana na washairi wengi ila wengi wao ni waislamu ingawa na wakristo wapo lakini pana mahusiano gani kati ya uislamu na ushairi ?
Mkuu kuhusisha ushairi na uislam sidhan kama uko sahihi labda ushairi na kiarabu kuna mahusiano tena makubwa tu.
 
Waislam hutumia mashairi ktk kumsifia mtume Muhammad (s.a.w).
mf:Kuna kitabu cha mashairi kinaitwa MAURIDI (Baraznje) hutumika ktk sherehe za kiislam kumsifia,na kuelezea historian ya Maisha yake toka kuzaliwa kwake mpaka kufa kwake Muhammad (s.a.w) kwa kusoma hayo mashairi.

Kitabu hiko kilitungwa na Saydina Jafarry baada ya kufa mtume Muhammad (s.a.w).Wanazuoni wakaona kinafaa kutumika ktk sherehe za kidini kama kumbukumbu ktk utajo wake na kumsifu kwake
Lakini pia mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa akiwaimbia mashairi Wake zake kama kuwasifia na kuwaonyesha jinsi gani anavyo wapenda.kwahio Mashairi ni moja ya tamaduni za kiislamu
na hio ndio sababu ya waislamu kupenda kuimba na kutunga mashairi.
Asante mkuu
 
Nature ya ushairi ni muziki usio na beats wala ala kitu ambacho waislamu wanajifunza tangu utotoni kwenye Madras.
 
Mh Mbushuu nimeuliza swali kwanini wengi wa watunzi ni waislamu,nikasema kuna mahusiano gani hapo
 
Jambo lingine waislam wanafundishwa kukariri wanapokuwa madrasa, hivyo huwasaidia kuja kuhifadhi mashairi kichwan
 
Back
Top Bottom