Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,998
- Thread starter
-
- #21
No, tumekataa kendelea kuliwa ndiyo maana tunapigana kiume.
wakati mwingine huwa napata mawazo mabaya, kwamba hivi kuna ubaya gani watu wakaanzisha ugaidi wa kuhujumu migodi na miundo mbinu yao hawa wawekezaji kwa mabomu ili kuwakimbiza waone Tanzania siyo mahali pa kuiba madini?
Tunakoelekea naona kama itafikia mahali watu tutakosa uvumilivu.
sidhani tutafikia huko na hatupaswi kufikia huko, kwani tukifikia huko tutakuwa tumeshindwa kwenye hoja!
nilitegemea hii intavyuu itawekwa kule kwenye recycle bin au itachanganywa na moja ya threads za mheshimiwa rais !
muungwana english yake grammar haijatulia sana..anarudia sana vocubullary..hasa anapoongea free stlyle..mwalimu enzi zake interview kama hiyo ungemsoma ni as if umeingia kwenye darasa la literature..afadhali ben mkapa alikuwa anaongea kinachoeleweka ..huyu mwenzetu ameshazoea kuongea kimaskani maskani..sasa sijui kama asingepitia foregn office ingekuwaje...
FT: Do you think youve fully shaken off the legacy of the socialist years?
JK: I dont see that one as a problem any more. But, well, investments move from place to place from time to time. Maybe our time is soon coming.
Mkandara said:Kwanza kabisa nilikubaliana naye sana alipohojiwa na VOA kuhusu madini hasa pale aliposema kwamba hadi sasa madini hayajaweza kuwanufaisha wananchi moja kwa moja.. hapo nilitegemnea mabadiliko ya mikataba ambayo iyangeweza kuondoa hilo neno I don't know!..kwani alifahamu kosa lipo wapi!
1972-1982
The birth of Jwaneng Mine
In May 1978 De Beers Consolidated Mines Ltd and the Government of Botswana signed an agreement to establish Jwaneng Mine. Debswana is a company in which the Botswana Government and the De Beers Consolidated Mines Ltd each hold a 50% share. Construction of the mine and the township commenced rapidly, the former coming into full production in July 1982. The Mine was officially opened by the then President of Botswana, His Excellency Sir Ketumile Masire in August 1982.
On this occasion, the President said: "Not only would Jwaneng Mine bring benefits to the community in the southern part of the country, but that it would also increase Botswana's revenue in foreign exchange, thereby helping to finance development throughout the entire country."
The commissioning of Jwaneng placed Botswana among the most important diamond producers in the world.
Debswana said:Debswana Diamond Company (Pty) Ltd is a unique partnership between the Government of the Republic of Botswana and De Beers Centenary AG. The main purpose of the company is to mine, recover and sort diamonds. Although Debswana uses the most up to date technology to carry out its business, it is the people it employs and the skills they bring that make Debswana a successful operation. The Botswana diamond mining industry is characterised as the lifeblood of the country, nurturing the entire population to a higher standard of living and better quality of life.
Debswana is the world's leading diamond producer by value and has played a significant role in the transformation of Botswanas economy that it was. It is the largest non-government employer and the largest earner of foreign exchange in Botswana.
Debswana's mining operations have been largely responsible for transforming Botswana from an agriculturally based economy in the 1960s to a country that has consistently displayed one of the highest economic growth rates in the world.
"Wawekezaji wapya hawawezi kupewa mikataba kama ile ya zamani...sasa kama wapya wamepewa asilimia 15, basi hapa hakuna haja ya kuhangaika, huyo atakuwa amekiuka maagizo yangu, huyo mniachie mimi, hiyo ni kazi yangu.
Jamani kwa mtaji huu Karamagi kasema uongo na kwa kweli sasa anapaswa kujiuzulu tu!!