Wale waliooa au kuolewa kwenye ndoa za mitaala waangalie kwa kuwa anawapa mausia mazuri ya jinsi ya kuishi na wake wenza au wake wawili kwa kuwa yeye aliolewa akamkuta mama yake JMK ingawa sasa amefariki. Asema hawakuwa na wivu na walihudumiana vizuri. Sisi wengine ndoa ni ya mke /mume mmoja hadi afariki dunia. :smash:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.