Stoudemire
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 839
- 208
Mkapa nae arudi Namtumbo awe anadandia boda boda
Mahmoud Ahmadinejad, a man who has been one of the most powerful men in Iran in the last couple of years and gave the West headaches through his fiery rhetoric about Israel and the development of the Irans nuclear program, has returned to his original profession, teaching.After the expiry of his second term he decided to withdraw from political life and start working again as a professor and teach at the University of Science and Technology.
A situation where the highest state official and a man who wielded enormous power subsequently returns to his humble position as a university professor job is hard to imagine.
However, the former Iranian president now takes the a bus to work every day and, judging by the photo, looks content.
![]()
![]()
Choka mbaya hiyo,,,,
i like that at least anaonyesha si mtu wa kubweteka
hiyo ndio inaitwa siasa sasa, maana SIHASA, huwezi niaminisha kwamba mtu aliyekua na majukumu ya kutoa maamuzi ya mwisho ya nchi kila siku, akisimamia na kuamrisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama aachwe kuzurura hovyo, labda zitakua haziwatoshi, si ajabu kufanya hivyo kujikeep busy lakini , bado ulinzi uko pale pale, marekani yenywe ndio hivi majuzi wamebadili sheria kupunguza miaka ya ulinzi na huduma mpaka 10 baada ya kumaliza kipindi cha kua madarakani..
hiyo ndio inaitwa siasa sasa, maana SIHASA, huwezi niaminisha kwamba mtu aliyekua na majukumu ya kutoa maamuzi ya mwisho ya nchi kila siku, akisimamia na kuamrisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama aachwe kuzurura hovyo, labda zitakua haziwatoshi, si ajabu kufanya hivyo kujikeep busy lakini , bado ulinzi uko pale pale, marekani yenywe ndio hivi majuzi wamebadili sheria kupunguza miaka ya ulinzi na huduma mpaka 10 baada ya kumaliza kipindi cha kua madarakani..
huyu jamaa namkubali sana...Mahmoud Ahmadinejad, a man who has been one of the most powerful men in Iran in the last couple of years and gave the West headaches through his fiery rhetoric about Israel and the development of the Irans nuclear program, has returned to his original profession, teaching.After the expiry of his second term he decided to withdraw from political life and start working again as a professor and teach at the University of Science and Technology.
A situation where the highest state official and a man who wielded enormous power subsequently returns to his humble position as a university professor job is hard to imagine.
However, the former Iranian president now takes the a bus to work every day and, judging by the photo, looks content.
![]()
![]()
Hahaaa watu hawajui siasa. Mahmud Ahmedneejad analindwa ile mbaya jamaaa, hapo waliomzunguka wote ni wasaidizi wake na kwenye hiyo picha kama siyo photoshop basi ujue anachukua lounge mwenyewena wasaidizi wake. Kurudi kuwa mwalimu ni jambo la kawaida sana kwa watu kama hao, mpaka sasa Waziri Mkuu wa India ana supervise PhD students.
Kwa viongozi wa hapa kwetu kinachowapa wakati mgumu ni kwamba wanapewa majukumu mengi sana baada ya kustaafu lakini pamoja na yote ulinzi ni lazima maana akili zetu zinataabu kam mzee mwinyi alivyo pigwa kofi