Mahmoud Ahmadinejad working as professor again

Mahmoud Ahmadinejad working as professor again

Mahmoud Ahmadinejad, a man who has been one of the most powerful men in Iran in the last couple of years and gave the West headaches through his fiery rhetoric about Israel and the development of the Iran’s nuclear program, has returned to his original profession, teaching.After the expiry of his second term he decided to withdraw from political life and start working again as a professor and teach at the University of Science and Technology.
A situation where the highest state official and a man who wielded enormous power subsequently returns to his humble position as a university professor job is hard to imagine.
However, the former Iranian president now takes the a bus to work every day and, judging by the photo, looks content.
Mahmoud-Ahmadinejad-bus.jpg

Mahmoud-Ahmadinejad-foto-2.jpg

Source?
 
Tunaomba source ya habari mkuu?Mtu aliyekuwa amejizolea maadui wengi azagae hivihivi,Mossaad wamwache?
 
Ingalikua hapa angekaa tu kunenepeana na kusubiri kwenda kupimwa India basi...lakini me nashangaa mtu kama Rouhan hajui wazungu, saiv wanamdangnay siku akiharibu nyuklia zao tu wanamkalia shingoni na kuipiga Iran mpaka iwe vumbi!!!
 
A good example to many africans leaders.
 
bloomberg.jpg


Multi-billionaire New York City Mayor, Michael Bloomberg takes the subway to work on a regular basis
 
hiyo ndio inaitwa siasa sasa, maana SIHASA, huwezi niaminisha kwamba mtu aliyekua na majukumu ya kutoa maamuzi ya mwisho ya nchi kila siku, akisimamia na kuamrisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama aachwe kuzurura hovyo, labda zitakua haziwatoshi, si ajabu kufanya hivyo kujikeep busy lakini , bado ulinzi uko pale pale, marekani yenywe ndio hivi majuzi wamebadili sheria kupunguza miaka ya ulinzi na huduma mpaka 10 baada ya kumaliza kipindi cha kua madarakani..
 
hiyo ndio inaitwa siasa sasa, maana SIHASA, huwezi niaminisha kwamba mtu aliyekua na majukumu ya kutoa maamuzi ya mwisho ya nchi kila siku, akisimamia na kuamrisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama aachwe kuzurura hovyo, labda zitakua haziwatoshi, si ajabu kufanya hivyo kujikeep busy lakini , bado ulinzi uko pale pale, marekani yenywe ndio hivi majuzi wamebadili sheria kupunguza miaka ya ulinzi na huduma mpaka 10 baada ya kumaliza kipindi cha kua madarakani..

THOMAS-SANKARA-OU-LA-DIGNITe-DE-L-AFRIQUE.jpg
1-1341416712-thomas-sankara-1.jpg
 
hiyo ndio inaitwa siasa sasa, maana SIHASA, huwezi niaminisha kwamba mtu aliyekua na majukumu ya kutoa maamuzi ya mwisho ya nchi kila siku, akisimamia na kuamrisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama aachwe kuzurura hovyo, labda zitakua haziwatoshi, si ajabu kufanya hivyo kujikeep busy lakini , bado ulinzi uko pale pale, marekani yenywe ndio hivi majuzi wamebadili sheria kupunguza miaka ya ulinzi na huduma mpaka 10 baada ya kumaliza kipindi cha kua madarakani..
putin-shirtless-on-horse.jpg
 
nadhan labda ni afrika tu ndio marais wastaafu hawatathubutu kutembea mitaan hovyo kuhofia uhalifu waliokua wakiufanya dhidi ya raia wao!!!
 
Hahaaa watu hawajui siasa. Mahmud Ahmedneejad analindwa ile mbaya jamaaa, hapo waliomzunguka wote ni wasaidizi wake na kwenye hiyo picha kama siyo photoshop basi ujue anachukua lounge mwenyewena wasaidizi wake. Kurudi kuwa mwalimu ni jambo la kawaida sana kwa watu kama hao, mpaka sasa Waziri Mkuu wa India ana supervise PhD students.

Kwa viongozi wa hapa kwetu kinachowapa wakati mgumu ni kwamba wanapewa majukumu mengi sana baada ya kustaafu lakini pamoja na yote ulinzi ni lazima maana akili zetu zinataabu kam mzee mwinyi alivyo pigwa kofi
 
Mahmoud Ahmadinejad, a man who has been one of the most powerful men in Iran in the last couple of years and gave the West headaches through his fiery rhetoric about Israel and the development of the Iran’s nuclear program, has returned to his original profession, teaching.After the expiry of his second term he decided to withdraw from political life and start working again as a professor and teach at the University of Science and Technology.
A situation where the highest state official and a man who wielded enormous power subsequently returns to his humble position as a university professor job is hard to imagine.
However, the former Iranian president now takes the a bus to work every day and, judging by the photo, looks content.
Mahmoud-Ahmadinejad-bus.jpg

Mahmoud-Ahmadinejad-foto-2.jpg
huyu jamaa namkubali sana...
 
Sha vurugwa huyo......anadanganya watu anapandaga daladala kumbe ilikua siku moja ili ajionyeshe kwa watu tena analindwa halafu behewa Zima ni yeye na walinzi wake......anawapa shida ya usafir wanaotegemea huo usafir...ndo yale ya aliekua katibu msaidiz wa Bank moon baada ya kupigwa chin akasema anarud kufundisha...kwahiyo kila anaeshindwa au kumaliza mda wake ndo anarud kufundish mnazibia vijana opportunity.
 
Hahaaa watu hawajui siasa. Mahmud Ahmedneejad analindwa ile mbaya jamaaa, hapo waliomzunguka wote ni wasaidizi wake na kwenye hiyo picha kama siyo photoshop basi ujue anachukua lounge mwenyewena wasaidizi wake. Kurudi kuwa mwalimu ni jambo la kawaida sana kwa watu kama hao, mpaka sasa Waziri Mkuu wa India ana supervise PhD students.

Kwa viongozi wa hapa kwetu kinachowapa wakati mgumu ni kwamba wanapewa majukumu mengi sana baada ya kustaafu lakini pamoja na yote ulinzi ni lazima maana akili zetu zinataabu kam mzee mwinyi alivyo pigwa kofi

kuna gazeti lilitishiwa kufungiwa liliandika "alizabwa kofi" eti lilikua linachochea!!!
 
Back
Top Bottom