Mahmoud Ahmadinejad Rais wa zamani wa Iran naye auawa

Mahmoud Ahmadinejad Rais wa zamani wa Iran naye auawa

Huyu jamaa ndiye amesababisha Iran ichakazwe, Kuna kauli alitoa kitambo akitaka Israel ifutwe kwenye uso wa dunia.
Sasa huko amepelekwa kwa mabikira hehehe
Lakini jameni profesa wa fizikia mtu mwenye elimu yake naye aliamini katika huo ujuha?
adriz MOTOCHINI zitto junior
 
Huyu jamaa ndiye amesababisha Iran ichakazwe, Kuna kauli alitoa kitambo akitaka Israel ifutwe kwenye uso wa dunia.
Sasa huko amepelekwa kwa mabikira hehehe
Lakini jameni profesa wa fizikia mtu mwenye elimu yake naye aliamini katika huo ujuha?
adriz MOTOCHINI zitto junior
huyo kijana anadunda kama jiwe , na anaongoza mapambano , huku akiwapeleka mashoga kupata mabasha mia kila mtu
 
😁Sini wale mnao washangiliaga kwa kubinua vijambio juu kuwa wamesilimu .....😁 hakuna mkristo aliye isoma injili kisha akamfuata Muhammad na uislamu...kwa sababu injili ni bora mara 1000 ya msahafu na yesu ni muhadilifu mara 1000 ya Muhammad....ukiona mkristo kaacha ukristo na kuwa muislamu basi tambua kuwa huyo kuna maslai ya kidunia anayatafuta...siyo dini ya uislamu...waislamu tumieni akili tatizo mmezidi uanithi wa akili ...yani nyinyi mle daku saa 11 asubuhi kisha mnawaambia wasio waislamu kule Zanzibar wasile chakula kama nyinyi 🙄 kwani hao wasio waislamu walikuwa daku? Funga ya wazanzibar imehalibika kwa kufanya hivyo ....funga njema na ya haki ni ile iliyo andikwa kwenye torati na injili ..
WAISLAMU WAISLAMU WAISLAMU TUMIENI AKILI KITENDO WANACHOFANYA WAZANZIBAR HATA MUHAMMAD ANGEKUWEPO LEO ANGEWAAMBIA KUWA FUNGA ZAO NI BATILI ...UKIMSHURUTISHA ASIYE MUISLAMU KUTOKULA KWA SABABU WEWE UMEFUNGA MOJA KWA MOJA WEWE NI KAFIRI WA KIISLAMU NA FUNGA YAKO NI BATILI KWA MUJIBU WA DINI. adriz FaizaFoxy Al-mukheef Bwana Utam Jagina Covax OHB11 ... swali kwanini ni haramu kushurutisha asiye muislamu kufunga naweza kutoa ilimu maana mimi naujua uislamu kuliko MUHAMMAD.

Zanzibar kuna wakristo , mabaniani , maparisi toka miaka hiyo na hakuna hata mmoja ambaye aliambia asile mchana , wao wenyewe kwa kuheshimu wenzao hatujawahi kuwaona kula nje hata siku moja . Pia kwenye shule za boarding wakristo na wa dini nyengine wakipikiwa chakula na serikali na kupewa mchana . Hali hiyo iko mpaka leo. Tatizo ni nyinyi wakristo mlokuja huku na vimadhehebu vyenu uchwara ndio mnaoleta chokochoko. Lakini mtakula bakora tu
 
Huyu jamaa ndiye amesababisha Iran ichakazwe, Kuna kauli alitoa kitambo akitaka Israel ifutwe kwenye uso wa dunia.
Sasa huko amepelekwa kwa mabikira hehehe
Lakini jameni profesa wa fizikia mtu mwenye elimu yake naye aliamini katika huo ujuha?
adriz MOTOCHINI zitto junior
Wala sio sababu, wanajua ni kipanga so angehitajika sana wakati huu kuziba ombwe la uongozi kwa uzoefu wake na IQ yake kubwa.

Kama issue ni kauli mbona wengi tu wametoa hiyo kauli na hawajaguswa ikiwemo hao hao Saudi Arabia ambao leo Israel na US inawalinda!!
 
Back
Top Bottom