Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,147
- 43,076
Rais wa zamani wa Iran, Mahmoud Ahmadinejad, ameuawa kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya ushirika kati Marekani na Israel. Profesa Ahmadinejad alikuwa Rais wa Iran kuanzia mwaka 2005 hadi 2013, na baada ya kustaafu alirudi kufundisha katika Chuo Kikuu cha Tehran, ambapo hadi umauti ulipomkuta alikuwa Profesa wa Idara ya Fizikia.
Kifo cha Ahmadinejad kinafuatia orodha ya vifo vya viongozi waandamizi wa Iran akiwemo Ayatollah Ali Khamenei aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa taifa hilo, na Said Abdulrahim Mousavi aliyekuwa Mkuu wa Majeshi.
Wengine waliouawa hadi sasa ni pamoja na Aziz Nasirzadeh - Waziri wa Ulinzi, Jenerali Mohammad Pakpour - Mkuu wa Kamandi ya nchi kavu, Jenerali Ali Shamkhani - Mkuu wa Usalama wa Taifa na mshauri wa Ayatollah Khamenei, Jenerali Hossein Jabal Amelian - Mkuu wa Taasisi ya Utafiti Jeshini, na Jenerali Mohammad Shirazi - Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi wa Ayatollah Khamenei.
Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon 🙏🏽
---
Amid reports of former Iranian president Mahmoud Ahmadinejad’s death, Iranian state media says reports cannot be confirmed.
Israeli and international media report that the hardline former Iranian president was killed in a Saturday strike on his home, citing “state media.”
Some outlets cite the Iran Labor News Agency. However, the news site says explicitly that the reports “cannot be confirmed.”
“One of Mahmoud Ahmadinejad’s close associates, in contact with ILNA, denied the news of the martyrdom of the president of the ninth and tenth governments without any additional information, saying: ‘The news of his martyrdom is false,” according to the outlet
Neither Israel nor Iran have put out an official statement.
Source: https://www.timesofisrael.com/liveb...-state-media-says-it-cannot-confirm-his-fate/
Kifo cha Ahmadinejad kinafuatia orodha ya vifo vya viongozi waandamizi wa Iran akiwemo Ayatollah Ali Khamenei aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa taifa hilo, na Said Abdulrahim Mousavi aliyekuwa Mkuu wa Majeshi.
Wengine waliouawa hadi sasa ni pamoja na Aziz Nasirzadeh - Waziri wa Ulinzi, Jenerali Mohammad Pakpour - Mkuu wa Kamandi ya nchi kavu, Jenerali Ali Shamkhani - Mkuu wa Usalama wa Taifa na mshauri wa Ayatollah Khamenei, Jenerali Hossein Jabal Amelian - Mkuu wa Taasisi ya Utafiti Jeshini, na Jenerali Mohammad Shirazi - Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi wa Ayatollah Khamenei.
Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon 🙏🏽
---
Amid reports of former Iranian president Mahmoud Ahmadinejad’s death, Iranian state media says reports cannot be confirmed.
Israeli and international media report that the hardline former Iranian president was killed in a Saturday strike on his home, citing “state media.”
Some outlets cite the Iran Labor News Agency. However, the news site says explicitly that the reports “cannot be confirmed.”
“One of Mahmoud Ahmadinejad’s close associates, in contact with ILNA, denied the news of the martyrdom of the president of the ninth and tenth governments without any additional information, saying: ‘The news of his martyrdom is false,” according to the outlet
Neither Israel nor Iran have put out an official statement.
Source: https://www.timesofisrael.com/liveb...-state-media-says-it-cannot-confirm-his-fate/