Mahitaji ya kemikali za kuchenjulia dhahabu.

Mahitaji ya kemikali za kuchenjulia dhahabu.

gwego1

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2023
Posts
281
Reaction score
1,012
Wakuu habari.
Kama kichwa Cha habari hapo juu Mimi ni kijana ninaye jishugurisha na uuzaji wa kemikali kwa ajili ya kuchenjulia dhahabu.

Napatikana Mkoa wa Mbeya wilaya ya Chunya! Najua humu Kuna watu Wana uhitaji wa hii huduma usisite kunitafuta nikuhudumie. Karibuni sana!!

Mnisaidie nisirudi kuchunga ng'ombe huko usukumani.

Shukurani.
 
Una kemikali za kupasua miamba (kimiminika) zinazomiminwa kwenye mwamba ili kuupasua tofauti na baruti za kulipua?
 
Kwa muandiko huu lazima utarudi tu kuchunga ng'ombe huko usukumani aiseee
 
Back
Top Bottom