Mahindi yaanza kushuka bei sokoni

Mahindi yaanza kushuka bei sokoni

Hali bei ya mahindi katika masoko makubwa ya Nafaka katika sehemu mbalimbali mikoani imeonekana kuwa na ahueni mkubwa kutoka Tzs 25,000 kwa Debe hadi shilingi 16000-15000 Bei ya hivi leo. Katika maeneo ya;

Mwanza
Geita
Bukoba
Bunda
Manyara
Kibaigwa - Dodoma.

Mchele umeendelea kubaki katika bei yake ya juu sababu mavuno ni mpaka mwezi wa 3 mwanzoni au katikati kutokana hali ya upandaji.

Kwa Upande wa Kanda ya Ziwa hususani
Mwanza, Geita, Bukoba na Kigoma hupanda kwa misimu miwili Desemba na huu mwezi wa Pili unaoanza hivi sasa.

Kwa wale Waliopanda mwezi Novemba na Desemba ndiyo wanavuna sasa
Mahindi huchukua siku 70 tu kuvunwa.
Na Maharage huchukua siku 60 kuvunwa kutoka siku ya kupandwa.
Mpunga wenyewe huchukua miezi minne hadi kuvunwa.

Bei ya Mahindi itaendelea kushuka kuanzia sasa hadi Wiki ijayo Mahindi debe itakuwa shilingi 10,000. Bei ya kawaida.

Madukani bei ya unga imepungua sasa. Ni ahueni kabisa kwa Wananchi. Hali hii imetokana na uwepo wa Mavuni katika baadhi ya kanda, usambazaji wa mahindi kutoka ghala la chakula na kupunguzwa import duty kwa bidhaa za Nafaka kama walivyokubaliana katika kikao cha Jumuiya ya Afrika mashariki hivi karibuni.

Kwa Upande wa manyara tumeshuhudia Gunia la Mahindi kuuzwa 85000 hadi 90000/= kutoka bei ya awali ya shilingi 120,000/=
😂😂 Kuna watu watakosa raha kwa hii habari, watakosa agenda za kuisakama serikali
 
Huna data na si mkulima si vyema kujibu kila kitu kaka.
Usinifunge mdomo kutokuwa mkulima sio sababu ya kutokujua mambo ya kilimo!
Kama una data una hiyari ya kuziwasilisha
Nimetumia takribani 3/4 ya umri wangu kijijini kwahiyo sio kwamba Mimi sio mkulima Mimi Ni mtoto wa mkulima!
 
Usinifunge mdomo kutokuwa mkulima sio sababu ya kutokujua mambo ya kilimo!
Kama una data una hiyari ya kuziwasilisha
Nimetumia takribani 3/4 ya umri wangu kijijini kwahiyo sio kwamba Mimi sio mkulima Mimi Ni mtoto wa mkulima!

Kanuni ni ileile kuwa karibu na mahakama hakukupi sifa ya kuwa Wakili. Jielimishe still una muda wa kunoa medula hiyo.
 
Hali bei ya mahindi katika masoko makubwa ya Nafaka katika sehemu mbalimbali mikoani imeonekana kuwa na ahueni mkubwa kutoka Tzs 25,000 kwa Debe hadi shilingi 16000-15000 Bei ya hivi leo. Katika maeneo ya;

Mwanza
Geita
Bukoba
Bunda
Manyara
Kibaigwa - Dodoma.

Mchele umeendelea kubaki katika bei yake ya juu sababu mavuno ni mpaka mwezi wa 3 mwanzoni au katikati kutokana hali ya upandaji.

Kwa Upande wa Kanda ya Ziwa hususani
Mwanza, Geita, Bukoba na Kigoma hupanda kwa misimu miwili Desemba na huu mwezi wa Pili unaoanza hivi sasa.

Kwa wale Waliopanda mwezi Novemba na Desemba ndiyo wanavuna sasa
Mahindi huchukua siku 70 tu kuvunwa.
Na Maharage huchukua siku 60 kuvunwa kutoka siku ya kupandwa.
Mpunga wenyewe huchukua miezi minne hadi kuvunwa.

Bei ya Mahindi itaendelea kushuka kuanzia sasa hadi Wiki ijayo Mahindi debe itakuwa shilingi 10,000. Bei ya kawaida.

Madukani bei ya unga imepungua sasa. Ni ahueni kabisa kwa Wananchi. Hali hii imetokana na uwepo wa Mavuni katika baadhi ya kanda, usambazaji wa mahindi kutoka ghala la chakula na kupunguzwa import duty kwa bidhaa za Nafaka kama walivyokubaliana katika kikao cha Jumuiya ya Afrika mashariki hivi karibuni.

Kwa Upande wa manyara tumeshuhudia Gunia la Mahindi kuuzwa 85000 hadi 90000/= kutoka bei ya awali ya shilingi 120,000/=
Nilisema .....
 
Manjangata mtu wangu si wangesofeza tu hadi siku 90. Sasa hizo siku 15 wiki mbili tu zinatofauti gani?
Wanatangaza ili kutuchota akili! Na hizo 75 siyo kwamba utakuwa unatoa shambani. Yakomaa kwa moja moja lakini mpaka kuvuna kabisa yanaenda mpaka zaidi ya hizo 90! Ila kama umezidiwa familia haiwezi kulala njaa kwa kukosa unga maana kijijini huwa tunachukua machache ya kupukuchua
 
Kanuni ni ileile kuwa karibu na mahakama hakukupi sifa ya kuwa Wakili. Jielimishe still una muda wa kunoa medula hiyo.
Kiufupi tu wewe Ni narrow minded! Umetaka mwenyewe nifike huko! Ashakum sio matusi!
Upande unaogemea ndio unafanya medula yako ifikirie along that line!
Nimekufuatilia wewe mrengo wako Ni wa wale wawili ambao mmoja wapo madam speaker amemtolea taarifa leo, kwa tabia yake ya kujikweza anajadili personality badala ya hoja iliyoko mezani! Asante na kwaheri.
 
Hali bei ya mahindi katika masoko makubwa ya Nafaka katika sehemu mbalimbali mikoani imeonekana kuwa na ahueni mkubwa kutoka Tzs 25,000 kwa Debe hadi shilingi 16000-15000 Bei ya hivi leo. Katika maeneo ya;

Mwanza
Geita
Bukoba
Bunda
Manyara
Kibaigwa - Dodoma.

Mchele umeendelea kubaki katika bei yake ya juu sababu mavuno ni mpaka mwezi wa 3 mwanzoni au katikati kutokana hali ya upandaji.

Kwa Upande wa Kanda ya Ziwa hususani
Mwanza, Geita, Bukoba na Kigoma hupanda kwa misimu miwili Desemba na huu mwezi wa Pili unaoanza hivi sasa.

Kwa wale Waliopanda mwezi Novemba na Desemba ndiyo wanavuna sasa
Mahindi huchukua siku 70 tu kuvunwa.
Na Maharage huchukua siku 60 kuvunwa kutoka siku ya kupandwa.
Mpunga wenyewe huchukua miezi minne hadi kuvunwa.

Bei ya Mahindi itaendelea kushuka kuanzia sasa hadi Wiki ijayo Mahindi debe itakuwa shilingi 10,000. Bei ya kawaida.

Madukani bei ya unga imepungua sasa. Ni ahueni kabisa kwa Wananchi. Hali hii imetokana na uwepo wa Mavuni katika baadhi ya kanda, usambazaji wa mahindi kutoka ghala la chakula na kupunguzwa import duty kwa bidhaa za Nafaka kama walivyokubaliana katika kikao cha Jumuiya ya Afrika mashariki hivi karibuni.

Kwa Upande wa manyara tumeshuhudia Gunia la Mahindi kuuzwa 85000 hadi 90000/= kutoka bei ya awali ya shilingi 120,000/=

Itashuka kwakuwa mvua zinanyesha, waliofungia mazao ili wayauze kwa bei ya juu wamegundua wakiendelea kuyafungia supply itakuwa kubwwa na mwisho watauza kwa hasara
 
😂😂 Kuna watu watakosa raha kwa hii habari, watakosa agenda za kuisakama serikali

😂😂 Kuna watu watakosa raha kwa hii habari, watakosa agenda za kuisakama serikali
Yani umeandika Kama uko serious kweli kweli yani! Kwa kauli za serikali kuhalalisha uoandaji wa bidhaa muhimu ikiwemo mafuta na nafaka unadhani Kuna mfanyabiashara atakubali kupunguza Bei kwa stock aliyonayo ama ghalani au dukani?

Nakupa tu mfano wa mafuta, serikali iliweka fedha lakini Bei ya mafuta ilibakia na imebakia pale pale juu na LATRA wanaridhia uoandaji wa nauli.

Kwa mantiki hiyo licha ya kwamba kutakua na abundance of grain bado kutakua na kisingizio Cha kupaanda kwa gharama za usafirishaji.

Madelu ameendelea kujificha kwenye kivuli Cha UVIKO 19 pamoja na Vita vya Ukraine, na kuwananga wabunge wasijadili maswala ya Uchumi Bali waganga wa kienyeji! Ni mfanyabishara yupi atapunguza Bei ya nafaka wakati Kuna uhalalishwaji huo, huku chawa wakipinga kuwa maharagwe hayajafika 4000 Wala mchele sio 3500+ na nyama haijafika 10ks? Bali Ni watu wanaisnanga serikali?

Msomali amesema tusitarajie kuwa serikali itakubali kuwafanya wakulima maskini kwa kuzuia chakula kuuzwa nje ili Bei ishuke kidogo! Serikali itanunua kwa wakulima na kuwauzia watumiaji, anasisitiza sio wafanyabiashara Bali mtumiaji mmoja mmoja!

Hapo unapata ukakasi kwamba je Sasa hivi Ni muda wa mavuno? Au wafanyabiashara wanauza kile ambacho wamelangua kwa wakulima? Kiuhalisia hakuna mkulima mwenye mazao anayeuza Sasa hivi HAKUNA!

Anavyosema atawauzia walaji mmoja mmoja unajiuliza je tumerudi enzi za mwalimu kwenye maduka yanushirika na yale ya serikali ya Kijiji kwamba tutaenda kupanga foleni kwa ajili ya kununua bidhaa?
 
Mtoa hoja anastahili kupewa PhD ya heshima ya mchongo,
Bei za mazao bado ni maumivu , maeneo aliyoyataja hapo yanategemea mahindi na mchele kutoka nyanda za juu magharibi na kusini ambako bado bei ni hivi; mahindi debe sh. 25,000. , Maharage kilo sh.3500 hadi 4000kg,. Mchele sh. 2500kg Sasa iweje bei iwe katika mwenendo huo huko? Na istoshe mazao mapya bado kukomaa ambayo tungetegemea yangeteremsha bei iliopo sokoni.
 
Mtoa hoja anastahili kupewa PhD ya heshima ya mchongo,
Bei za mazao bado ni maumivu , maeneo aliyoyataja hapo yanategemea mahindi na mchele kutoka nyanda za juu magharibi na kusini ambako bado bei ni hivi; mahindi debe sh. 25,000. , Maharage kilo sh.3500 hadi 4000kg,. Mchele sh. 2500kg Sasa iweje bei iwe katika mwenendo huo huko? Na istoshe mazao mapya bado kukomaa ambayo tungetegemea yangeteremsha bei iliopo sokoni.

Upo kwenye ukanda upi chifu wewe, leo ukienda Rukwa na Mikoa jirani bei zina afadhali, walanguzi ni wengi kabla ya kununua fanya tathimini.

Bei ya Maharage na mchele ipo constant ila kwa Mahindi mzigo umeshuka bei.

Tusubiri na mzigo wa NFRA walanguzi tafuteni pa kujificha.
 
Yani umeandika Kama uko serious kweli kweli yani! Kwa kauli za serikali kuhalalisha uoandaji wa bidhaa muhimu ikiwemo mafuta na nafaka unadhani Kuna mfanyabiashara atakubali kupunguza Bei kwa stock aliyonayo ama ghalani au dukani?

Nakupa tu mfano wa mafuta, serikali iliweka fedha lakini Bei ya mafuta ilibakia na imebakia pale pale juu na LATRA wanaridhia uoandaji wa nauli.

Kwa mantiki hiyo licha ya kwamba kutakua na abundance of grain bado kutakua na kisingizio Cha kupaanda kwa gharama za usafirishaji.

Madelu ameendelea kujificha kwenye kivuli Cha UVIKO 19 pamoja na Vita vya Ukraine, na kuwananga wabunge wasijadili maswala ya Uchumi Bali waganga wa kienyeji! Ni mfanyabishara yupi atapunguza Bei ya nafaka wakati Kuna uhalalishwaji huo, huku chawa wakipinga kuwa maharagwe hayajafika 4000 Wala mchele sio 3500+ na nyama haijafika 10ks? Bali Ni watu wanaisnanga serikali?

Msomali amesema tusitarajie kuwa serikali itakubali kuwafanya wakulima maskini kwa kuzuia chakula kuuzwa nje ili Bei ishuke kidogo! Serikali itanunua kwa wakulima na kuwauzia watumiaji, anasisitiza sio wafanyabiashara Bali mtumiaji mmoja mmoja!

Hapo unapata ukakasi kwamba je Sasa hivi Ni muda wa mavuno? Au wafanyabiashara wanauza kile ambacho wamelangua kwa wakulima? Kiuhalisia hakuna mkulima mwenye mazao anayeuza Sasa hivi HAKUNA!

Anavyosema atawauzia walaji mmoja mmoja unajiuliza je tumerudi enzi za mwalimu kwenye maduka yanushirika na yale ya serikali ya Kijiji kwamba tutaenda kupanga foleni kwa ajili ya kununua bidhaa?

Hakuna mkulima atakayekufa masikini kipindi hiki Bashe akiwa Waziri wa Kilimo.

Unaposema hakuna mkulima mwenye chakula ndani leo hii unakosea sana. Wakulima wana akiba kubwa ya chakula ukifika malinyi leo mchele upo mwingi wa kutosha na bei ni nafuu kabisa.
 
Itashuka kwakuwa mvua zinanyesha, waliofungia mazao ili wayauze kwa bei ya juu wamegundua wakiendelea kuyafungia supply itakuwa kubwwa na mwisho watauza kwa hasara

Mwaka huu wa msimu tushukuru Mungu tuna akiba kubwa ya chakula cha kutosha. Wakulima wamejibiwa maombi yao mvua ni za kutosha.
 
Hakuna mkulima atakayekufa masikini kipindi hiki Bashe akiwa Waziri wa Kilimo.

Unaposema hakuna mkulima mwenye chakula ndani leo hii unakosea sana. Wakulima wana akiba kubwa ya chakula ukifika malinyi leo mchele upo mwingi wa kutosha na bei ni nafuu kabisa.
In short wewe Ni propagandist Kama wengine and your avarter defines it!

Hebu nikuulize Kuna mwaka ambao mkulima alikufa njaa? Kama upo uje na tawimu! Tu kuwa mwaka x wakulima kwa idadi x walikufa njaa!

Una uono hafifu Kama unaiona Malinyi ambayo kipindi cha Masika safari na usafirisha vinasimama kupisha mvua kuwa Tanzania yote iko hivyo! Hao wenye mipunga huko Malinyi au Masagati nk Ni walanguaji walionunua kwa wakulima wakahifadhi and now they are selling at higher price kwa sababu watawala wamewahalalishia hivyo!
Tanzania Ni nchi kubwa Sana Ina variation nyingi! Wewe piga propaganda uhalisia unaonekana!

Huyu Mangi anayeniuzia mchele kg moja kwa tsh 3500 Ni mkulima? Uliza amenunua kwa Nani? Duka la jumla, wa duka la jumla amenunua kwa Nani kwa dalali! Dalali amenunua kwa nani? Kwa mkusanyaji huko kijijini, mkusanyaji kanunua kwa Nani kwa mkulima! Hiyo ilihapen kitambo, mkulima hapo alipata Nini? Hujajibu hojanzangu umefupisha propaganda tu!

Mkulima anategemea kilimo ili aweze kujikimu hivyo baada ya kuvuna huuza mazao yake ili aendelee na maisha . Swali kwako Je huu Ni msimu wa mavuno? Jibu hapana! Sasa hapa unamekaje mkulima?

Yaani juzi juzi tu tumeona mvurugano kwenye upatikanaji wa mbolea na nyingine ikitoroshwa nje ya nchi after three weeks tayari wameshavuna? Huu Ni ujinga uliopitiliza!
 
Safi sana bashe akili zimeanza kuwakaa sawa. Hata wa mjini wameanza kujua kilimo.
 
Duuh! Kweli Dunia inaenda spidi, Nakumbuka nikiwa mdogo nilikuwa nashuhudia Bibi anauza Debe la mahindi 1k eti Leo Debe la Mahindi 25k, hakika hii bei ingekuwepo tangia kipindi kile, naamini Bibi angekuwa Millionaire.

Nakabidhi kipaza sauti
 
Hali bei ya mahindi katika masoko makubwa ya Nafaka katika sehemu mbalimbali mikoani imeonekana kuwa na ahueni mkubwa kutoka Tzs 25,000 kwa Debe hadi shilingi 16000-15000 Bei ya hivi leo. Katika maeneo ya;

Mwanza
Geita
Bukoba
Bunda
Manyara
Kibaigwa - Dodoma.

Mchele umeendelea kubaki katika bei yake ya juu sababu mavuno ni mpaka mwezi wa 3 mwanzoni au katikati kutokana hali ya upandaji.

Kwa Upande wa Kanda ya Ziwa hususani
Mwanza, Geita, Bukoba na Kigoma hupanda kwa misimu miwili Desemba na huu mwezi wa Pili unaoanza hivi sasa.

Kwa wale Waliopanda mwezi Novemba na Desemba ndiyo wanavuna sasa
Mahindi huchukua siku 70 tu kuvunwa.
Na Maharage huchukua siku 60 kuvunwa kutoka siku ya kupandwa.
Mpunga wenyewe huchukua miezi minne hadi kuvunwa.

Bei ya Mahindi itaendelea kushuka kuanzia sasa hadi Wiki ijayo Mahindi debe itakuwa shilingi 10,000. Bei ya kawaida.

Madukani bei ya unga imepungua sasa. Ni ahueni kabisa kwa Wananchi. Hali hii imetokana na uwepo wa Mavuni katika baadhi ya kanda, usambazaji wa mahindi kutoka ghala la chakula na kupunguzwa import duty kwa bidhaa za Nafaka kama walivyokubaliana katika kikao cha Jumuiya ya Afrika mashariki hivi karibuni.

Kwa Upande wa manyara tumeshuhudia Gunia la Mahindi kuuzwa 85000 hadi 90000/= kutoka bei ya awali ya shilingi 120,000/=
heri
 
Back
Top Bottom