habari wana bodi.
Nauliza mahindi ya njano naweza kupata kwa nani na yanauzwa bei gani? Niko singida mjini nayatafuta tafadhali
Mimi ninayo tank 3nimetoka kuvuna. Karibu tufanye biashara. 0754268333habari wana bodi.
Nauliza mahindi ya njano naweza kupata kwa nani na yanauzwa bei gani? Niko singida mjini nayatafuta tafadhali
Mimi ninayo tank 3nimetoka kuvuna. Karibu tufanye biashara. 0754268333
Nipo mbezi lous. Ya kimara.wapi
Mbezi ya kimara ndugu.Unapatikana wapi?
vipi unayo mahindi sasaiviMbezi ya kimara ndugu.
Nina mahind ya njano hapo moro yanaendeleaje kuvunwa, kwa sasa tuna gunia za debe sana kam 20 ivi 0621871684 _, katibuMimi ninayo tank 3nimetoka kuvuna. Karibu tufanye biashara. 0754268333