mkuu weka namba yako ... nikupeleke kweny grupu la wakulima wakufahamisheJamani naomba anayeijua vizuri mbegu nzuri ya mahindi ya kuchoma yanayoweza kukomaa baada ya muda mfupi.
Nitashukuru kujua hilo

Jamani naomba anayeijua vizuri mbegu nzuri ya mahindi ya kuchoma yanayoweza kukomaa baada ya muda mfupi.
Nitashukuru kujua hilo
Jamani naomba anayeijua vizuri mbegu nzuri ya mahindi ya kuchoma yanayoweza kukomaa baada ya muda mfupi.
Nitashukuru kujua hilo
Tafuta mahindi ya DK 9089. ni mbegu nzuri sana na inasukari nyingi hivyo ni tamu sana ukichom. sifa kuu ni kwamba inatoa magunzi mawili hadi matatu kwa mche mmoja.Jamani naomba anayeijua vizuri mbegu nzuri ya mahindi ya kuchoma yanayoweza kukomaa baada ya muda mfupi.
Nitashukuru kujua hilo
0762190806mkuu weka namba yako ... nikupeleke kweny grupu la wakulima wakufahamishe![]()
![]()
Tafuta DK 9089 ni nzuri sana na inazaa mbili hadi tatuJamani naomba anayeijua vizuri mbegu nzuri ya mahindi ya kuchoma yanayoweza kukomaa baada ya muda mfupi.
Nitashukuru kujua hilo
Tumbili aifai kwa mbeya mkuu
Wengi waliokushauri jukwaani wamekudanganya.Lazima uulizwe swali upo wapi? mbegu za mahindi zinategemea na hali ya hewa ya mahali unapotaka kuzalishia.Muulizie Afisa Kilimo aliye jirani na wewe.
Tafuta aina ya "panama"Jamani naomba anayeijua vizuri mbegu nzuri ya mahindi ya kuchoma yanayoweza kukomaa baada ya muda mfupi.
Nitashukuru kujua hilo
Ukiona mbegu ya kihivyo ujue mahindi yake hayawi makubwaTafuta mahindi ya DK 9089. ni mbegu nzuri sana na inasukari nyingi hivyo ni tamu sana ukichom. sifa kuu ni kwamba inatoa magunzi mawili hadi matatu kwa mche mmoja.
Ukiona mbegu ya kihivyo ujue mahindi yake hayawi makubwa
Yaani shina likizaa mahindi zaidi ya mawili hua yanakuwa madogo au mamwili makubwa na moja linakuwa gunzi na punje chacheMahindi ya vipi hayawi makubwa?
Yaani shina likizaa mahindi zaidi ya mawili hua yanakuwa madogo au mamwili makubwa na moja linakuwa gunzi na punje chache