Mkami Lum
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 414
- 96
Niaje wana MMU
Yamenikuta mwenzenu, mwezi uliopita nilipeleka mahari sehemu fulani ili niweke huduma karibu. Sasa yamenikuta, wamenipangia Sh Mil 6.2.
Ukilinganisha na uwezo wangu nashindwa kuilipa hiyo, nimeamua kumuacha coz na yeye anasema hataki kuja bila wazazi kuridhia na anamimba tayari ya miezi mitano na wazazi wake hawajui.
Mie nimeamua kuachana nae kama anakua na msimamo huo na nitakomboa mtoto.
WE UNAONAJE?
Yamenikuta mwenzenu, mwezi uliopita nilipeleka mahari sehemu fulani ili niweke huduma karibu. Sasa yamenikuta, wamenipangia Sh Mil 6.2.
Ukilinganisha na uwezo wangu nashindwa kuilipa hiyo, nimeamua kumuacha coz na yeye anasema hataki kuja bila wazazi kuridhia na anamimba tayari ya miezi mitano na wazazi wake hawajui.
Mie nimeamua kuachana nae kama anakua na msimamo huo na nitakomboa mtoto.
WE UNAONAJE?