Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,090
Hata milion 5 unatoa kutokana na ulivyompenda.
Mi kuna single mom, alinipenda katika uhai wangu hakuna aliyenipenda sana Kama yeye japo wapo waliokuja badala yake.
Na imani nikifa , tutaonana Tena.
Rest in peace mainah.
Duh watu na roho mbaya zenuMahari ya single mama inatakiwa itoke kwa wazazi wake japo waseme asante kwa kijana atakabeba hilo kopo.
Kununua engine mbovu iliyoshafanyiwa overhaul ni ujinga na utadharaulika na hata ndugu wa mkeo
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mahari ya single mama inatakiwa itoke kwa wazazi wake japo waseme asante kwa kijana atakabeba hilo kopo.
Kununua engine mbovu iliyoshafanyiwa overhaul ni ujinga na utadharaulika na hata ndugu wa mkeo
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Unalaana sio bureMahari ya single mama inatakiwa itoke kwa wazazi wake japo waseme asante kwa kijana atakabeba hilo kopo.
Kununua engine mbovu iliyoshafanyiwa overhaul ni ujinga na utadharaulika na hata ndugu wa mkeo
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Yupi bora, Alotoa mimba zaidi ya tano Ila hana mtoto... Au aliye pata mimba moja naakamua kuzaa ?.Mahari kubwa that's why amejimwambafy hapo but mahari ya single mama inatakiwa itoke kwa wazazi wake japo waseme asante kwa kijana atakabeba hilo kopo.
Kununua engine mbovu iliyoshafanyiwa overhaul ni ujinga na utadharaulika na hata ndugu wa mkeo
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
NmekuonaMkuu punguza kidogo ukali wa maneno Daah, si vyema sana kuwa na maneno makali hivyo
mahari kubwa that's why amejimwambafy hapo but mahari ya single mama inatakiwa itoke kwa wazazi wake japo waseme asante kwa kijana atakabeba hilo kopo.
Kununua engine mbovu iliyoshafanyiwa overhaul ni ujinga na utadharaulika na hata ndugu wa mkeo
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk



hata yeye mwenyewe single mother atakudharau kwamba huyu hajaona wanawake wote kaniona mimihata single mother inawezekana alitoa mimba piaMkuu ivi unajua kuna mademu wanatoa wameshatoa mimba kibao ..nahuyo ndo unaenda Oa?Yupi bora, Alotoa mimba zaidi ya tano Ila hana mtoto... Au aliye pata mimba moja naakamua kuzaa ?.
Ukishamwelewa MTU ,hata km amezaa Toa mahari ya kujitosheleza.
Nenda Ukuryani, Uone Jamaa wanavyotoa mahari, wanalipia Mke, wanalipia Watoto kutumia Ubini wake.
Sasa nenda nakapua kako eti unataka Mtoto wako Hahahahaha.... Utabakisha Kinyeo mlangoni
Kuna watu komenti zao unaweza kudhani hawakuzaliwa na mwanamkeMkuu punguza kidogo ukali wa maneno Daah, si vyema sana kuwa na maneno makali hivyo
hata single mother inawezekana alitoa mimba pia