Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,524
Ndio, kwani akiwa anaolewa mara ya pili au ya tatu ndio hafai kupewa zawadi?
Hata aolewe mara saba wa sabiini, ana hiari ya kuamua adai mahari au la
Duh, kumbe kuolewa mara nyingi dili.
Nikiolewa mara nyingine mahari yangu itakuwa shamba at least acre 1 lenye minazi na minanas