Huyu amezoea ufisadi toka yupo shirika la nyumba akiwa afisamipango wakati huo, alisabisha wananchi kuuziwa nyumba ambazo hazikuwa zimekamilika katika mtaa wa kimanga darajani kulingana mipango ya shirika la nyumba wakati huo, nyumba ilikuwa ziuzwe zikiwa na zimekamilika iwapo mfumo wa maji taka pamoja na cocret road kwenye eneo la mradi nyumba hizo hapo kimanga.