Gazeti la The African la leo Jumapili 04/09/2011 kwenye ukurasa wa mbele limechapisha picha ya ukumbi wa Nyantare uliopo Tabata Bima D'Salaam kuwa kabla ujenzi eneo hilo lilikuwa la wazi,pia jirani ya eneo hilo kuna baa ya Nyantare Inasemekena Mh Makongoro Mahanga amekuwa behind na mipango ya kujitwalia maeneo ya wazi hasa jimboni kwake kwa manufaa yake binafsi.