Tabora singida arushaHabari wanajamvi
Naomba kufahamu mahali wanakopatikana mbuzi kwa wingi na bei nafuu niko dar nahitaji wengi kwa biashara kama unafahamu mkoa ..wilaya au kijiji basi naomba mnifahamishe .
dodoma & manyara. but unaposema bei nafuu kwako ni bei gani chief b yaomanHabari wanajamvi
Naomba kufahamu mahali wanakopatikana mbuzi kwa wingi na bei nafuu niko dar nahitaji wengi kwa biashara kama unafahamu mkoa ..wilaya au kijiji basi naomba mnifahamishe .
Bei zao zipoje mkuuNenda mpwapwa dodoma
Bei zao zipoje mkuuMkata utawapata kwa wingi sana.
Shukran mkuu vipi upande wa bei zao kulinganisha na dar mana kuna baadhi maeneo bei sawa na darTanga nenda mkata wapo wa kutosha, dodoma njo msalato jmoc utafanikiwa.
Mkuu bei zao zikoje nilinganishe na hukuKama una mtaji wa kutosha nenda Kibondo soko la ujirani kuna mbuzi wengi wanakosa wanunuzi.
Kama umewania kufanya biashara hiyo, karibu PM kwa details kamili na contact person. 🙏
Shukran mkuu kwa taarifa nzuri vipi bei zao ziko nafuu mana isije kawa sawa darKuna minada Ilola (J3), Tinde (J4), Isaka (J`mosi), yote iko Shinyanga vijijini pembezoni mwa barabara ya Nzega -Kahama. Magari ya kusafirisha yapo
Mbuzi Elfu 40???? 😃😃😃Kama 40-80k hivi