Hivi wakuu kama kuna mtu mfano amekushitaki polisi kudai fidia kuwa umemuharibia mali yake. Mtuhumiwa anao uwezo wa kukataa wito wa kumtaka kwenda polisi na kumtaka mtu aliyemshitaki aenda mahakamani moja kwa moja? Kwa maana nyingine mtuhumiwa kuomba wakutane mahakamani badala ya polisi. Hawa polisi mara nyingi sio wa kuwaamini. Unaweza ukaenda wakakutisha na hata kukuweka ndani. Nina wasiwas jamaa ashaongea na polisi ili wanichukulie ela wagawane. Maana jamaa anaenishtaki ashakuaga polisi akatatimuliwa kwa utovu wa nidhamu.