HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,367 94,548 Aug 30, 2022 #1 Mahakama za Kenya zinaruhusu Live TV kwa masuala yote yahusuyo nchi mf Swala la Pingamizi za Uchaguzi, twaona TV ziko live. Kwanini mahakama zetu zinaogopa? Au mahakama zetu hazitendi haki?
Mahakama za Kenya zinaruhusu Live TV kwa masuala yote yahusuyo nchi mf Swala la Pingamizi za Uchaguzi, twaona TV ziko live. Kwanini mahakama zetu zinaogopa? Au mahakama zetu hazitendi haki?
Jodeo JF-Expert Member Mar 10, 2015 1,286 1,326 Aug 30, 2022 #2 Tanzania ina wenyewe, kama si mmoja wao watakuoneshaji mambo yasiyokuhusu!