Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Kesi yenye maslahi makubwa kwa nchi kutupwa on a submission of no case to answer ni dhihaka kwa watanzania.
Mkuu wa mashitaka na au takukuru hawakufanya homework yao sawsawa, wameiangusha nchi kwa hilo.
Njia pekee ni wao kujiuzulu kwa kushindwa kazi
Mkuu wa mashitaka na au takukuru hawakufanya homework yao sawsawa, wameiangusha nchi kwa hilo.
Njia pekee ni wao kujiuzulu kwa kushindwa kazi