Mahakama yakataza rasmi Vyombo vya Habari kurusha live au kuripoti kesi ya Lissu

Mahakama yakataza rasmi Vyombo vya Habari kurusha live au kuripoti kesi ya Lissu

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Ni rasmi sasa hakuna updates zozote kuhusu hiyo kesi tutakuwa tunapata

===
"Pili uchezaji wa moja kwa moja au live streaming, utangazaji, usambazaji wa moja kwa moja mtandaoni au aina nyingine ya uenezaji wa moja kwa moja kwa umma yaani ukijumuisha mitandao ya kijamii au matangazo ya video wakati wa comital proceedings hii mahakama inavizuia hadi pale itakapotoa amri nyingine itakapotolewa na mahakama hii au mahakama kuu"

Soma Pia: MWABUKUSI: Kesi ya uhaini ya Lissu iwe LIVE Mahakamani

 
Back
Top Bottom