Mahakama yaamuru Halotel kulipa faini ya shilingi milioni 700

Kuna watu lazima waiipinge hii najua
Na haya ndio mawazo yenu ni kujihami cku zote..... hakuna mpinzani anayepinga kitu flani huwa wanapinga utekelezaji/mchakato wa hilo jambo. Mfano kesi hii watu hawatopinga HAO WAHUNI KUPEWA ADHABU ila watapinga labda aina ya adhabu au mchakato wa kesi fullstop ssa watu wenye fikra za kujihami kma wewe ndio mtaishia kusema WANATETEA MAFISADI!!!! kwa kweli mbadilike
 
Kidogo sana hiyo kimsingi walipaswa kufilisiwa na kupigwa P. I.

Sawa kabisa insolvency ilikuwa ina wahusu hawa
Ingawa najiuliza wakati haya yote yakifamyika mamlaka za usalama wa nchi zilikuwa wapi? Likizo? Au kusaka wenye vyeti feki.?

Maana Nasema hivyo kwa msingi huu: kama walifanikiwa kuendesha Huduma za mawasiliano ya simu za kimataifa bila kujulikana Je , mamlaka zimefatilia kujua kuwa nini kilikuwa kikizungumzwa katika hayo mawasiliano ya kimataifa..? Usalama wa nchi kwanza. Take it serious , maana sidhani nchi kama Marekani wangekuacha tu uendelee kutoa Huduma nchini.
Je hiyo.mitambo waliyosimika kama ilitumika kutudukua mambo yetu ICT bila ya sisi kujua kama Tuko "socio-naked" kimataifa. Na nchi yenyewe ni Vietnam. Aisee napata mashaka sana. Hukumu ilibidi kufilisi na kutaifisha kila kitu.

By the way hapo mwishoni nilidhani Mara ya .kwanza umeandika na kupigwa R.I.P......ahaaaaaa
 
Mwekezaji aliyehujumu uchumi na kuhatarisha usalama wa nchi kapigwa faini ndogo iliyolingana na kosa kubwa alilofanya, na bila kifungo
Wananchi wazalendo waliotumikia taifa hili kwa uaminifu mkubwa na kwa muda mrefu Lakini wakitumia nyaraka za ndugu jamaa na marafiki kwa makubaliano yao wenyewe ,Leo hii kwa amri moja tu wamefukuzwa kazi na kupokwa haki zao zote
Tukumbuke nyuma ya hawa watu kuna Familia kwa maelfu zimeathirika pakubwa mno
 
Nadhani ulimaanisha kosa dogo lisilolingana na kosa kubwa alilolifanya. Yawezekana ni tatizo katika sheria zetu. Ila ikumbukwe mwenye nacho.....
 
Nadhani ulimaanisha kosa dogo lisilolingana na kosa kubwa alilolifanya. Yawezekana ni tatizo katika sheria zetu. Ila ikumbukwe mwenye nacho.....
Basi tusijivunie uzalendo na kuwapenda Wananchi kama hatuwezi kutimiza kwa vitendo
 
Ndani ya ccm hakuna maajabu ambayo hutayasikia/yaona.
Bado kuna miujiza mingi ndani ya ccm subiri utayaona.
 
Kwahiyo mkuu ndo unataka kutuaminisha nini?
Kwamba serikali inajali zaidi wageni?

Ushawahi kujiuliza wenye vyeti feki wamewaathiri vipi wale wenye vyeti halali??
Au hawa hawana haki??

Mtanzania mzalendo ni yupi??

Ulitaka na hawa nao waombwe kubadili vyeti au??
Kuwa muwazi kwa kipi unataka kiwe.
 
Ndani ya ccm kila kitu kinawezekana, watu wenye akili sana hawawezi kukaa ccm, kwa mfano tundu Lissu akihamia ccm mimi nitaacha kabisa siasa na kuendelea na mambo yangu, au maalim Seif
 
Kwahiyo mkuu ndo unataka kutuaminisha nini?
Kwamba serikali inajali zaidi wageni?

Ushawahi kujiuliza wenye vyeti feki wamewaathiri vipi wale wenye vyeti halali??
Au hawa hawana haki??

Mtanzania mzalendo ni yupi??

Ulitaka na hawa nao waombwe kubadili vyeti au??
Kuwa muwazi kwa kipi unataka kiwe.
Kuna malalamiko yoyote yalishawahi kuripotiwa rasmi?
Dhana ya kinachoitwa vyeti feki unaijua vema?
Athari za wenye 'vyeti halali' ni zipi dhidi ya 'vyeti feki'?
 
hahahah jaman wana network nzuri sema wivu tu .kwa sababu serikali inataka kuleta TTCL wanataka wawazime jamaaa hao kwan wamekuja kizungu zaidi na mitambo ya kisasa inayo ua soko la jama wengine....
 
Back
Top Bottom