Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,489
- 37,765
Amepigwa na kitu kizito hajui atainuka vipi?Leo unaujua umuhimu wa katiba?
Amepigwa na kitu kizito hajui atainuka vipi?Leo unaujua umuhimu wa katiba?
Mh. Rais Samia, sisi wana CCM tunakuomba kama ulivyoguswa na maombi ya watu mbalimbali ya kutaka umwachie Mbowe anayetuhumiwa kwa tuhuma nzito za ugaidi na kupanga njama za kuua viongozi wa Serikali basi tunakuomba pia uguswe na umwachie aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, kwani kusameheana kupo.
Kwenye mizani Sabaya na Mbowe wote ni wafungwa wa kisiasa na tuhuma za Mbowe ni nzito sana na ushahidi wake umetolewa na watu wakubwa ambao ni viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama lakini tuhuma za Sabaya ni nyepesi sana na ushahidi unatolewa na watu ambao tangu mwanzo wanajulikana wana chuki na Sabaya, Wengine wametamba waziwazi kwenye mabaa kuwa lazima wamkomeshe huyo kijana.
Mh Rais haiwezekani ukubali kuingilia uhuru wa mahakama na kumsamehe mwana Chadema Mbowe alafu ukamuacha kijana na mtoto wako na mwana ccm mwenzako Sabaya akiteseka kwa tuhuma za uongo na uzushi alizotungiwa na wakwepa kodi na wauza madawa ya kulevya wa wilaya ya Hai.
Ni kweli CHADEMA na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana CCM wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.
Vp huko ulipo unaendeleajeMbowe kupata afueni kwenye kesi yake ni mpaka sabaya kwenye kesi yake itazamwe mara mbili mbili na kufanyiwa mlinganyo ni shida sana, wakati mashtaka ya sabaya yapo wazi
Ukiitwa udhibitishe Mh rais anahusika unaweza kudhibitisha ww mama?NDIYO
Ww mraxy leo ndio unaona umuhimu wa katiba mpya,kagongwe huko lumumba gasho weHoja ni kwamba mfumo wetu wa utendaji haki kwenye jinai upo vizuri?
DPP angeamua kuifuta hii kesi kabla mahakama haijasema wana kesi ya kujibu, ilikuwa logical kwamba upelelezi na ushahidi aliopelekewa na polisi ameona haujitoshelezi. Sasa mahakama ilishathibitisha kwamba ushahidi dhidi ya mashitaka unajitosheleza ndiyo maana ikawataka walete utetezi wao kuiconvice kinyume chake. Sasa hoja ya DPP Kusema hana nia ya kuendelea na kesi ni ipi?
Siku moja tutajua tu kwamba hii katiba tuliyonayo ni famba.
Hii kesi angekuwa ameshatakiwa Neema kandambili kwa mchongo huuhuu angefungwa vizurii kabisa.
Tulia wewe miss sabaya,vumilia maumivu ili akitoka akukute unawatoto sita,tulia mpini ukuingie vizuriMh. Rais Samia, sisi wana CCM tunakuomba kama ulivyoguswa na maombi ya watu mbalimbali ya kutaka umwachie Mbowe anayetuhumiwa kwa tuhuma nzito za ugaidi na kupanga njama za kuua viongozi wa Serikali basi tunakuomba pia uguswe na umwachie aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, kwani kusameheana kupo.
Kwenye mizani Sabaya na Mbowe wote ni wafungwa wa kisiasa na tuhuma za Mbowe ni nzito sana na ushahidi wake umetolewa na watu wakubwa ambao ni viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama lakini tuhuma za Sabaya ni nyepesi sana na ushahidi unatolewa na watu ambao tangu mwanzo wanajulikana wana chuki na Sabaya, Wengine wametamba waziwazi kwenye mabaa kuwa lazima wamkomeshe huyo kijana.
Mh Rais haiwezekani ukubali kuingilia uhuru wa mahakama na kumsamehe mwana Chadema Mbowe alafu ukamuacha kijana na mtoto wako na mwana ccm mwenzako Sabaya akiteseka kwa tuhuma za uongo na uzushi alizotungiwa na wakwepa kodi na wauza madawa ya kulevya wa wilaya ya Hai.
Ni kweli CHADEMA na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana CCM wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.
Huyo na afungwe tu. Aliwasulubu maraia wengi wasiokuwa na hatia. Nyambafu zakeMh. Rais Samia, sisi wana CCM tunakuomba kama ulivyoguswa na maombi ya watu mbalimbali ya kutaka umwachie Mbowe anayetuhumiwa kwa tuhuma nzito za ugaidi na kupanga njama za kuua viongozi wa Serikali basi tunakuomba pia uguswe na umwachie aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, kwani kusameheana kupo.
Kwenye mizani Sabaya na Mbowe wote ni wafungwa wa kisiasa na tuhuma za Mbowe ni nzito sana na ushahidi wake umetolewa na watu wakubwa ambao ni viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama lakini tuhuma za Sabaya ni nyepesi sana na ushahidi unatolewa na watu ambao tangu mwanzo wanajulikana wana chuki na Sabaya, Wengine wametamba waziwazi kwenye mabaa kuwa lazima wamkomeshe huyo kijana.
Mh Rais haiwezekani ukubali kuingilia uhuru wa mahakama na kumsamehe mwana Chadema Mbowe alafu ukamuacha kijana na mtoto wako na mwana ccm mwenzako Sabaya akiteseka kwa tuhuma za uongo na uzushi alizotungiwa na wakwepa kodi na wauza madawa ya kulevya wa wilaya ya Hai.
Ni kweli CHADEMA na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana CCM wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.
Wewe ni pumbafu!Kwani mboe nae si ana kesi ya kujibu na ugaidi wao?
Tunaenda sawa sawa sawia mekuVp huko ulipo unaendeleaje
Hata mimi huwa najiuliza swali hilo hilo maana kesi ya Sabaya na ushahidi ni wa kutengeneza kabisa lakini leo hii kijana wa watu anateseka Gerezani kwa manufaa ya wauza madawa ya kulevya na wakwepa kodiHuwa najiuliza ni kosa gani kubwa yule sabaya alimkosea Rais samia hadi aadhibiwe hivi
Ungelikuwa karibu yangu hakika ningekuchapa makofi !!Mh. Rais Samia, sisi wana CCM tunakuomba kama ulivyoguswa na maombi ya watu mbalimbali ya kutaka umwachie Mbowe anayetuhumiwa kwa tuhuma nzito za ugaidi na kupanga njama za kuua viongozi wa Serikali basi tunakuomba pia uguswe na umwachie aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, kwani kusameheana kupo.
Kwenye mizani Sabaya na Mbowe wote ni wafungwa wa kisiasa na tuhuma za Mbowe ni nzito sana na ushahidi wake umetolewa na watu wakubwa ambao ni viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama lakini tuhuma za Sabaya ni nyepesi sana na ushahidi unatolewa na watu ambao tangu mwanzo wanajulikana wana chuki na Sabaya, Wengine wametamba waziwazi kwenye mabaa kuwa lazima wamkomeshe huyo kijana.
Mh Rais haiwezekani ukubali kuingilia uhuru wa mahakama na kumsamehe mwana Chadema Mbowe alafu ukamuacha kijana na mtoto wako na mwana ccm mwenzako Sabaya akiteseka kwa tuhuma za uongo na uzushi alizotungiwa na wakwepa kodi na wauza madawa ya kulevya wa wilaya ya Hai.
Ni kweli CHADEMA na wapinzani wengi wameshangilia sana kifungo cha Lengai Ole Sabaya cha miaka 30 jela lakini ukweli ambao hausemwi ni kwamba wana CCM wengi wamehuzunishwa na kuchukizwa mno na kifungo cha Sabaya.
Kwenye macho ya wazalendo wa nchi hii ,Sabaya ni mzalendo wa kweli aliyejitoa kuleta mabadiliko kwa vitendo na siyo maneno kama wanavyofanya wengi.
Mpumbavu alimletea dharau mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kisa alikuwa mwanamke, mwache ajifunze kwamba kumtegemea binadamu ni hasaraHuwa najiuliza ni kosa gani kubwa yule sabaya alimkosea Rais samia hadi aadhibiwe hivi
Hakika kabisa.Nina uhakika kama serikali ingeweza kudhibitisha pasipo shaka kuwa Mh Mbowe alishiriki ugaidi japo kwa 10% tu basi hata viongozi wa dini wangekesha wakimwomba rais isingewezekana kuachiwa.
Kuachiwa kwa Mbowe ni matokeo ya udhibitisho kuwa kesi yake ilikuwa ya mchongo kwa 100%
Mkuu ujue kuna watu si vibaya kuwafananisha na choo... Fikra zao zimejaa uchafu tu!Sabaya ni mfungwa wa kisiasa! seriously?