Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,670
- 22,261
Tanzania nchini ya mfumo wa vyama vingi tunahitaji tuwe na mahakama ya katiba itakayosimamia utekelezaji wa katiba nchini.
Siku hizi ni kawaida sana kila viongozi kujiamulia jambo lolote kulifanya nje ya katiba ya nchi bila hatua zozote za kisheria kuchukuliwa! Ni kwamba katiba ya nchi imepumzishwa.
Siku hizi ni kawaida sana kila viongozi kujiamulia jambo lolote kulifanya nje ya katiba ya nchi bila hatua zozote za kisheria kuchukuliwa! Ni kwamba katiba ya nchi imepumzishwa.