fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Ok. Kanisa kwako ni majengo???Gwajima hakuwa kanisani alikuwa kwenye uwanja wa wazi wa hadhara usio wa kidini wa Tanganyika packers.Akiwa kwenye jukwa la uwanja huo kwenye huo mkutano wa hadhara aliporomosha matusi ambayo yalisikiwa na kila mtu wakiwemo waislamu maderava wa daladala n.k waliokuwa maeneo ulipo huo uwanja,vibaka,wavuta bangi waliokuwa wamekaa eneo hilohilo la viwanja vya wazi