meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Nilifikiri na wao pia walifikiri ya kuwa tukiweka mahakama ya kadhi huko Kenya tutakuwa tumewaridhisha waislamu.
kwamba tutakuwa tumewaridhisha makundi yenye msimamo mkali na tutawaonesha kuwa serikali imeanza kutatua matatizo ya waislamu.
Hizi zilikuwa ni fikra za wanasiasa huko kenya na pengine ni fikra za wanasiasa ndani ya Tanzania leo hii.
Mahakama ya kadhi haijawatisha au kuwaogofya magaidi na vile vile haijahukumu magaidi.
Niliyoyasema yatakuwa muhimu iwapo Kenya kuna mahakama ya Kadhi...!
Niliyoyasema hayasemi kuwa waislamu ni magaidi...!
Niliyoyasema ni onyo kwa wanasiasa kutofikiri au kutumia mahakama ya kadhi kama bakora ya uhalifu au ugaidi.
Paska Njema!
kwamba tutakuwa tumewaridhisha makundi yenye msimamo mkali na tutawaonesha kuwa serikali imeanza kutatua matatizo ya waislamu.
Hizi zilikuwa ni fikra za wanasiasa huko kenya na pengine ni fikra za wanasiasa ndani ya Tanzania leo hii.
Mahakama ya kadhi haijawatisha au kuwaogofya magaidi na vile vile haijahukumu magaidi.
Niliyoyasema yatakuwa muhimu iwapo Kenya kuna mahakama ya Kadhi...!
Niliyoyasema hayasemi kuwa waislamu ni magaidi...!
Niliyoyasema ni onyo kwa wanasiasa kutofikiri au kutumia mahakama ya kadhi kama bakora ya uhalifu au ugaidi.
Paska Njema!