Mahakama ya Kadhi italipasua Taifa

Mahakama ya Kadhi italipasua Taifa

Status
Not open for further replies.

wiseboy.

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
2,931
Reaction score
4,549
Tanzania ni nchi ambayo serikali yake haina dini,ila wananchi wake wana dini,na sote tunaongozwa na katiba ambayo ndio mama wa heri taifa zima,inakuwaje kunafanyika mipango mizito bungeni kuhakikisha kuwa mahakama ya kadhi inakuwepo Tanzania?

Kwanini mambo ya dini yasiamuliwe na mabaraza ya dini husika?

Waislam waende Bakwata na wakristo nao kwao,kupitisha mahakama ya kadhi ni kutulazimisha watanzania wote tuwe waislam.

Sheria haiwezi kuwa kwenye katiba halafu useme inatumika kwa kundi moja katika jamii,kivipi?

Iwapo mahakama ya kadhi itapita basi taifa hili litapasuka,kesho wakristo watakuja na madai yao wakitaka yawemo kwenye katiba,kesho kutwa watakuja wapagani nao na madai yao yawemo kwenye katiba,mwisho wake nini kama siyo mpasuko mkubwa kwa taifa?

Watanzania hatuwezi kukubali kuona mtu anapigwa mawe hadi kuuawa eti kwa kuwa kazini,mahakama ya kadhi haitakuwepo,Tanzania hatuna dini,kila mmoja na aabudu kwa imani yake,imani yako isiwe kero kwa wengine.

Nakupenda Tanzania,MUNGU ILINDE NCHI YANGU ULIYONIPA.
 
na kama mahakama ya kadhi hakuna ni bora utokee mpasuko wache tuchapane maana amani tumeshaichoka
 
Kabla ya kukurupushwa na chuki na kukimbilia kupost hapa, kwanza ungefanya ka-research kadogo tu. Kenya mahakama ya kadhi imo kwenye katiba yao, umesikia mpasuko wowote wa kidini? Au umesikia watu wamepigwa mawe mpaka kufa huko?
 
na kama mahakama ya kadhi hakuna ni bora utokee mpasuko wache tuchapane maana amani tumeshaichoka
Na kusema ulee ukwelhi.. ikitokea ikawepo.. mpasuko utatokea kwa sababu akina chichi kuukubali huu nchezo ithakuwa nghumu
 
na kama mahakama ya kadhi hakuna ni bora utokee mpasuko wache tuchapane maana amani tumeshaichoka

kama umechoka kuishi Tanzania,tafuta pa kwenda uhame ktk hii nchi,usijidanganye kabisa kuwa eti kama hakuna mahakama ya kadhi eti nchi itaingia vitani,mtakaojaribu kuvuruga amani mtaishia jela wote,wala msijaribu,vyombo vyetu vya dola viko imara sana,hutaki amani,nenda Syria,Iraq,Central africa,somalia na n.k.
 
(a) There is no valid basis whatsoever for the inclusion of the Kadhis' Courts in the Constitution;
(b) If Muslims alone get preferential treatment for setting religious Courts, then other communities and faiths would come forward to have separate courts
(c) Provision such as Kadhis' Courts is normally covered under the general law. It should not be part of the main body of the Constitution,
(d) Due to different school of interpretation of the Holy Koran and Hadith which figh will the Kadhis' Courts follow? Will there be Kadhis' Court as per separate jurisdiction of Shias and Sunis? What would be the views of Ismaili or Bohra Communities on the issue?
(e) Even in Pakistan, no universal Islamic courts could be established due to confusion and conflicts between the figh Jaferia of Shias and the figh of Sunis
(f) Several sects of Muslims community do not follow Kadhis' Courts but have their own jurisprudence.
(g) The awards of the Kadhis' Courts are based on the sole discretion of the Kadhi. What view do the Muslim Women have on this system? Do the majority of the Muslim Women concerned get a fair trial in Kadhis' Courts? Are they convinced that their welfare and fundamental rights are protected at the hearings?

[h=3]In the Matter of Kadhis' Court and the Constitution of Tanzania[/h]
 
Kabla ya kukurupushwa na chuki na kukimbilia kupost hapa, kwanza ungefanya ka-research kadogo tu. Kenya mahakama ya kadhi imo kwenye katiba yao, umesikia mpasuko wowote wa kidini? Au umesikia watu wamepigwa mawe mpaka kufa huko?

Ni wapi post yangu ina chuki? sijaegemea upande wowote mie,kuhusu kenya,imetambua mahakama ya kadhi kwa vipengele ambavyo viko limited sana,sasa hapa kwetu wanataka serikali iwajibike moja kwa moja na mahakama hiyo,yaani kwa mfano mtu akiwa convicted kwa sharia za kiislam,basi police wa serikali wasimamie,kufanya hivyo ni sawa na kuwa hili ni taifa la kiislam,wakati Tanzania haina dini.
 
Ndugu zetu waisilamu mnapenda dezo. Mnakwepa gharama mnatubebesha mambo ya dini kwenye kodi? Nani atagharimia cost kuirun? Mahaka ya serikali ina hahi mbaya kifedha na nyie mbataka mskadhi wenye wake kumi walipiwe ba kodi? Pumbafu yenu
 
Ni wapi post yangu ina chuki? sijaegemea upande wowote mie,kuhusu kenya,imetambua mahakama ya kadhi kwa vipengele ambavyo viko limited sana,sasa hapa kwetu wanataka serikali iwajibike moja kwa moja na mahakama hiyo,yaani kwa mfano mtu akiwa convicted kwa sharia za kiislam,basi police wa serikali wasimamie,kufanya hivyo ni sawa na kuwa hili ni taifa la kiislam,wakati Tanzania haina dini.

Wenzio wanaweka mavi tumboni wewe unaweka mavi kichwani ndo maana mawazo yako ni ya kimavimavi tu,hivi wewe nani alikwambia mahakama ya kadhi itamkata mtu mkono au kumpiga mawe mzinifu?
Epuka kuparamia mambo utajazwa mimba ya utotoni.
 
Ndugu zetu waisilamu mnapenda dezo. Mnakwepa gharama mnatubebesha mambo ya dini kwenye kodi? Nani atagharimia cost kuirun? Mahaka ya serikali ina hahi mbaya kifedha na nyie mbataka mskadhi wenye wake kumi walipiwe ba kodi? Pumbafu yenu

We mama katafute bwana akupakate muda huu,
 
Kabla ya kukurupushwa na chuki na kukimbilia kupost hapa, kwanza ungefanya ka-research kadogo tu. Kenya mahakama ya kadhi imo kwenye katiba yao, umesikia mpasuko wowote wa kidini? Au umesikia watu wamepigwa mawe mpaka kufa huko?

nahisi uelewa wako ni mdogo sana, na inawezekana hata hayo madai huyaelewi, kinachopingwa hapa ni kuwa hiyo mahakama ya kadhi kisiwe chombo cha dola na wala kisiendeshwe na kodi za wananchi wote ambao ndani yao mnawaita makafiri na si waaminj wa uislam, lakini hiyo mahakama kwakuwa ni ya waislam basi ianzishwe na waislam wenyewe kwa gharama zao na iendeshwe kwa gharama zao, siyo watu wakauze nguruwe huko alafu hizo hela ndo zitumike kuendeshea mahakama ya dini inayoamini kuwa nguruwe ni haramu.
...yaani ni sawa na ninyi wenyewe mkubali leo hii watu waingie msikitini na viatu.
 
kama umechoka kuishi Tanzania,tafuta pa kwenda uhame ktk hii nchi,usijidanganye kabisa kuwa eti kama hakuna mahakama ya kadhi eti nchi itaingia vitani,mtakaojaribu kuvuruga amani mtaishia jela wote,wala msijaribu,vyombo vyetu vya dola viko imara sana,hutaki amani,nenda Syria,Iraq,Central africa,somalia na n.k.

Wanaoitaka mahakama ya kadhi ni waislam...umefika wakati tuwajue wanaoipinga kwa majina na hata dini Zao maana ishakuwa hii nchi dini Fulani ndio last say..wakitaka wao kitawemo wasipotaka hakiwemo...

But this tym kama hakieleweki hivi...
 
kama umechoka kuishi Tanzania,tafuta pa kwenda uhame ktk hii nchi,usijidanganye kabisa kuwa eti kama hakuna mahakama ya kadhi eti nchi itaingia vitani,mtakaojaribu kuvuruga amani mtaishia jela wote,wala msijaribu,vyombo vyetu vya dola viko imara sana,hutaki amani,nenda Syria,Iraq,Central africa,somalia na n.k.
Wewe ndo umedai patakua mpasuko,au unaongelea mpasuko gani?
 
Dah unapo vuta Bangi basi ujue na sehemu ya kupata msosi, otherwise...!!!
 
Adhabu zinazotolewa na mahakama ya kadhi watanzania wataziweza kweli?

hanging.jpg
 
Naomba unipe ushaadi sehemu gani ilianzishwa mahakama ya kadhi na ikaleta mpasuko au matatizo yeyote ushaidi tafadhali
 
makamee umepanic tu huna jipya, mambo ya dini yanawekwaje kwenye katiba ?
 
Mwaka juz hili swala lilishika kasi sana naishukuru serikal ilipowaambia waanzishe wnyw lkn washughulike na mambo yao kama ndoa,mirathi m bd nashangaa kwnn wanasema serkal haiwasikilizi?
 
Hivi dini zinafundisha matusi??? Iweje mtu aongelee dini na matusi juu???? Nna wasiwasi na #DINI ZINGINE
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom