Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,920
- 31,161
Wanajamvi jana nilikutana na gari lenye namba za mahakama ya Afrika [AFRICA COURT, J 4].Najua kulikuwa na mpango wa kuanzisha mahakama ya Afrika ili kuchukua nafasi ya UNICTR ambayo muda wake unamalizika mwishoni mwa mwaka huu.
Naomba kujuzwa kama tayari mahakama imeshaanza kazi.
Naomba kujuzwa kama tayari mahakama imeshaanza kazi.