Mahakama ya Afrika imeanza kazi ?

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,920
31,161
Wanajamvi jana nilikutana na gari lenye namba za mahakama ya Afrika [AFRICA COURT, J 4].Najua kulikuwa na mpango wa kuanzisha mahakama ya Afrika ili kuchukua nafasi ya UNICTR ambayo muda wake unamalizika mwishoni mwa mwaka huu.

Naomba kujuzwa kama tayari mahakama imeshaanza kazi.
 
Wanajamvi jana nilikutana na gari lenye namba za mahakama ya Afrika [AFRICA COURT, J 4].Najua kulikuwa na mpango wa kuanzisha mahakama ya Afrika ili kuchukua nafasi ya UNICTR ambayo muda wake unamalizika mwishoni mwa mwaka huu.

Naomba kujuzwa kama tayari mahakama imeshaanza kazi.
Nadhani iko katika hatua za mwisho za kuanzishwa!
Hilo gari hata mimi ninakutana nalo mara kwa mara mtaani.
Ofisi zao ziko maeneo ya makao makuu ya TANAPA pale.
 
Wanajamvi jana nilikutana na gari lenye namba za mahakama ya Afrika [AFRICA COURT, J 4].Najua kulikuwa na mpango wa kuanzisha mahakama ya Afrika ili kuchukua nafasi ya UNICTR ambayo muda wake unamalizika mwishoni mwa mwaka huu.

Naomba kujuzwa kama tayari mahakama imeshaanza kazi.


Mahakama hiyo imeshaanza kazi siku nyingi sana. Ila kukusahihisha inachukua nafasi ya Kamisheni ya haki za binadamu ya afrika na siyo replacement ya UNICTR. Hizi zina jurisdiction mbili tofauti.

Its true ofisi zao ziko Arusha. For more details read below:

The African Court on Human and Peoples' Rights is a regional court that rules on [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Union"]African Union[/ame] states' compliance with the African Charter on Human and Peoples' Rights.


It came into being on January 25, 2004 with the ratification by fifteen member states of the Protocol to the African Charter on Human and Peoples’ Rights Establishing the AfCHPR.[1]
The court is in the process of being merged with the [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/African_Court_of_Justice"]African Court of Justice[/ame] following a decision by member states at a June 2004 African Union Summit.
The Court is located in Arusha, Tanzania. Arusha was also the location selected in 1996 for the [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/International_Criminal_Tribunal_for_Rwanda"]International Criminal Tribunal for Rwanda[/ame], which continues to function.
On January 22, 2006, the Eighth Ordinary Session of the Executive Council of the African Union elected the first eleven Judges of the African Court on Human and Peoples' Rights.
Judges are normally elected for six-year terms and can be re-elected once. The President and Vice-President are elected to two-year terms.
The Court had its first meeting on July 2-5, 2006.
Contents

[hide]

[edit] Since 2006

On December 15, 2009, the Court has delivered its first judgment, finding an application against Senegal inadmissible.[2] The plans to merge with the African Court of Justice appear to have stalled: as of December, 2009, only two countries have ratified the relevant protocol, out of 15 needed for its entry into force.[3]
[edit] Judges

Name State Position Elected Term Ends [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Jean_Mutsinzi"]Jean Mutsinzi[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Rwanda"]
22px-Flag_of_Rwanda.svg.png
[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Rwanda"]Rwanda[/ame] President 2006 2012 Sophia A.B. Akuffo [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Ghana"]
22px-Flag_of_Ghana.svg.png
[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Ghana"]Ghana[/ame] Vice-President 2006 2012 [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Gerard_Niyungeko"]Gerard Niyungeko[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Burundi"]
22px-Flag_of_Burundi.svg.png
[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Burundi"]Burundi[/ame] Member 2006 2012 [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Fatsah_Ouguergouz"]Fatsah Ouguergouz[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Algeria"]
22px-Flag_of_Algeria.svg.png
[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Algeria"]Algeria[/ame] Member 2006 2010 Kellelo Justina Masafo-Guni [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Lesotho"]
22px-Flag_of_Lesotho.svg.png
[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Lesotho"]Lesotho[/ame] Member 2006 2010 [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Hamdi_Faraj_Fanoush"]Hamdi Faraj Fanoush[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Libya"]
22px-Flag_of_Libya.svg.png
[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Libya"]Libya[/ame] Member 2006 2010 El Hadji Guissé [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Senegal"]
22px-Flag_of_Senegal.svg.png
[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Senegal"]Senegal[/ame] Member 2006 2010 [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Bernard_Ngoepe"]Bernard Ngoepe[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/South_Africa"]
22px-Flag_of_South_Africa.svg.png
[/ame][ame="http://en.wikipedia.org/wiki/South_Africa"]South Africa[/ame] Member 2008 2012 Githu Muigai [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Kenya"]
22px-Flag_of_Kenya.svg.png
[/ame][ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Kenya"]Kenya[/ame] Member 2008 2012 Joseph Nyamihana Mulenga [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Uganda"]
22px-Flag_of_Uganda.svg.png
[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Uganda"]Uganda[/ame] Member 2008 2014 [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Modibo_Tounty_Guindo"]Modibo Tounty Guindo[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Mali"]
22px-Flag_of_Mali.svg.png
[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Mali"]Mali[/ame] Member 2006 2012 [edit] Former Judges

Name State Position Elected Term Ended George W. Kanyeihamba [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Uganda"]
22px-Flag_of_Uganda.svg.png
[/ame][ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Uganda"]Uganda[/ame] Member 2006 2008 [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Jean_Emile_Somda"]Jean Emile Somda[/ame] [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Burkina_Faso"]
22px-Flag_of_Burkina_Faso.svg.png
[/ame][ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Burkina_Faso"]Burkina Faso[/ame] Member 2006 2008 [edit] See also
 
Nadhani iko katika hatua za mwisho za kuanzishwa!
Hilo gari hata mimi ninakutana nalo mara kwa mara mtaani.
Ofisi zao ziko maeneo ya makao makuu ya TANAPA pale.

Heshima kwako PakaJimmy,

Habari njema kwa mji wa Arusha na vitongoji vyake.Unajua UNICTR imesaidia sana Arusha kuchangamka economically.nilikuwa natafakari siku watakapofunga virago wenye nyumba watakavyopata shida kuwapata wapangaji [executive] bila shaka mahakama ya Afrika itasaidia kuziba pengo la UNICTR.
 
Heshima kwako PakaJimmy,

Habari njema kwa mji wa Arusha na vitongoji vyake.Unajua UNICTR imesaidia sana Arusha kuchangamka economically.nilikuwa natafakari siku watakapofunga virago wenye nyumba watakavyopata shida kuwapata wapangaji [executive] bila shaka mahakama ya Afrika itasaidia kuziba pengo la UNICTR.

Mkuu, nadhani utakuwa mmoja wa waathirika!:D

Actually, Arusha ya leo iko hivi kutokana na taasisi hizi za kimataifa ku'base hapa!

Kuna positives na Negatives kibao za ujio wa taasisi hizi kubwa. Lakini kubwa zaidi ni upande wa housing kama ulivyokwisha dokeza!...
Watu wa ICTR wan'inflate sana bei za nyumba Arusha. Nyumba ikiwa nzuri wataingia kwa gharama yoyote, hali hiiimefanya thamani ya majengo mengi na ardhi kwa ujumla kuja juu sana!

Hawa jamaa wakiondoka nyumba nyingi sana zitakosa wakaaji na hivyo wenyewe wataathirika in some ways (maana ICTR wana watumishi wengi sana).

Ujio wa Mahakama ya Africa kwa namna yoyote hautaweza kuabsorb makazi yote ya ICTR!, nadhani wao ni wachache zaidi!..Hasara itaonekana wazi!
 
Mkuu, nadhani utakuwa mmoja wa waathirika!:D

Actually, Arusha ya leo iko hivi kutokana na taasisi hizi za kimataifa ku'base hapa!

Kuna positives na Negatives kibao za ujio wa taasisi hizi kubwa. Lakini kubwa zaidi ni upande wa housing kama ulivyokwisha dokeza!...
Watu wa ICTR wan'inflate sana bei za nyumba Arusha. Nyumba ikiwa nzuri wataingia kwa gharama yoyote, hali hiiimefanya thamani ya majengo mengi na ardhi kwa ujumla kuja juu sana!

Hawa jamaa wakiondoka nyumba nyingi sana zitakosa wakaaji na hivyo wenyewe wataathirika in some ways (maana ICTR wana watumishi wengi sana).

Ujio wa Mahakama ya Africa kwa namna yoyote hautaweza kuabsorb makazi yote ya ICTR!, nadhani wao ni wachache zaidi!..Hasara itaonekana wazi!

Heshima kwako PakaJimmy,

Ni kweli mkuu wangu idadi ya wafanyakazi UNICTR ni kubwa sana kulinganisha na mahakama ya Afrika lakini EAC nao wanatusaidia kupumua kidogo.Nategemea idadi ya wafanyakazi EAC itaendelea kuwa kubwa kadri majukumu yake yatakavyokuwa makubwa.

Unajua hizi taasisi za kimataifa zimetutia jeuri ya ajabu wakaazi wa Arusha kila kitu tunataka kuuza kwa dola kazi ipo siku wakikimbia sijui tutapata wapi wapangaji wa kulipa kwa dola.
 
Back
Top Bottom