LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
Tanzania ya leo! MONEY TALKS! huyo angekuwa mwananchi wa kawaida ameshukiwa kuiba kuku wa fisadi mmoja angekuwa yupo lupango zamani!
Watu wote wananiboa tu.. sasa kwendaa kwa Surtee huko Houston Tarehe 7 Oktoba 2006 na kusainiwa kwa mkataba kati ya Dowans na Richmond 14 Oktoba, 2004 hakuna uhusiano wowote? Nashangaa kwanini hii hoja hailetwi mbele kuhojiwa? Inaboa kweli. I'll have to do this mimi mwenyewe.