Mahakama na kesi za UHUJUMU UCHUMI (UFISADI)!

Lakini unaijua hatari ya kufanya hili kwa MAGAMBA? Hebu kumbuka huu usemi 'MAFISADI TUKIWAPELEKA MAHAKAMANI NCHI ITAYUMBA'. Nchi hii ina viongozi wa ajabu sana!
 
Nape, Ungekuwa upande wa upinzani tungekuelewa, sasa wewe upo karibu na Rais, unashindwa nini kumueleza haya na makachukua hatua? ina maana huku huthaminiwi?

Pamoja na kuwa umeleta hoja ambayo in a mshiko, viongozi wengi walio ndani ya nyinyiem hawawezi kupisha sheria kama hizo kwa sababu wanajua watakuwa kwanza kukamatwa nayo.
Mfano ni mbunge wenu wa Bahi kuomba rushwa na kukamatwa kirahisi. Mi ndo ningekuwa kikwete, yaani ningeagiza kesi hiyo iishe ndani ya wiki mbili na jamaa afungwe. lakini sasa kama wewe mwenyewe ulivyoainisha kesi za mwaka 2024 bado hadi leo. hebu fikiri, whay are you there Nape, mnafanya nini. au mnaogopa hao jamaa watawataja kuwa walikuwa wanakusanya mapato ya chama kwa ajili ya kuchakachua

In short hayo yatawezekana tu ccm ikitolewa madarakani, that what I can say Nape.
 
Ulitaka amweleze kwa njia gani? Social media ni njia mojawapo ya mawasiliano na Rais alishapata ujumbe huo na nyie wana Chadema pia mmepata ujumbe kuna unabaya gani?
Nape, Ungekuwa upande wa upinzani tungekuelewa, sasa wewe upo karibu na Rais, unashindwa nini kumueleza haya na makachukua hatua? ina maana huku huthaminiwi?

Pamoja na kuwa umeleta hoja ambayo in a mshiko, viongozi wengi walio ndani ya nyinyiem hawawezi kupisha sheria kama hizo kwa sababu wanajua watakuwa kwanza kukamatwa nayo.
Mfano ni mbunge wenu wa Bahi kuomba rushwa na kukamatwa kirahisi. Mi ndo ningekuwa kikwete, yaani ningeagiza kesi hiyo iishe ndani ya wiki mbili na jamaa afungwe. lakini sasa kama wewe mwenyewe ulivyoainisha kesi za mwaka 2024 bado hadi leo. hebu fikiri, whay are you there Nape, mnafanya nini. au mnaogopa hao jamaa watawataja kuwa walikuwa wanakusanya mapato ya chama kwa ajili ya kuchakachua

In short hayo yatawezekana tu ccm ikitolewa madarakani, that what I can say Nape.
 
Nape,
Umeongea ukweli! Ila haya wapinzani ndo wanatakiwa walalamike, nyie mnatakiwa mchukue hatua,. Mna kila kitu Nape, sasa mnataka mpewe nini zaidi ili hayo yatokee? Au unatoa siri kuwa kwenye vikao vyenu hawakusikilizi ndo unakuja kushitaki huku kwenye mahakama ya umma.? Funguka kijana!
 
Nape nashindwa kukupa Like kwasababu wewe unabadilika mno Kama mfumo huu upo kwenye serikali ya CCM na wewe ulishasema mta tawala milele huoni kwamba ndio tumekwisha?
 
Tanzania bwana,nchi ya ajabu sana,viongozi wanalalamika badala ya kujenga hoja kwenye vikao halali vya nchi na chama,na kuchukua hatua na wananchi nao wanalalamika,mtu unashindwa kujua tofauti ya viongozi na waongozwa...bado tunasafari ndefu hasa na hili dubwana CCM
 
Bunge linaongozwa na CCM, Mahakimu wanachaguliwa na Uongozi wa CCM, Polisi, PCCB na wengineo ni Waajiriwa wa CCM, Na NAPE ni kiongozi wa CCM. Hivyo basi ufumbuzi kwa sasa hivi uko CCM YEEEEEEEEEEEEEE
 
Oh Bw Nnauye Jr, unashangaa kesi za 2004? Ipo kesi ambayo ndiyo babu yao ktk kesi za nchi hii, nayo ni ya Devramp Valambhia. Ina umri wa miaka 23 mahakamani, ilifunguliwa 1989. Alishinda mara nyingi tu, hakuna Jaji wa enzi hizo ambaye hakusikiliza kesi ya Valambhia, iwe Mahakama Kuu ama Mahakama ya Rufaa. Kote alishinda na kuamriwa alipwe zaidi ya dola mil 60. Hadi anakufa mwaka juzi bado hajapata haki yake, kesi ipo mahakamani hadi leo. Waliokuwa wanaitetea (mawakili) Benki Kuu walishachota zaidi ya dola 30 millioni (Taarifa ya CAG). Kwa hiyo kesi za 2004 cha mtoto, babu lao ni hiyo ya Valambhia!
 
Je, tusemeje kuhusu kesi ya Devramp Valambhia ambayo ilifunguliwa 1989, leo ina miaka 23. Mahakama Kuu na ile ya Rufaa zote ziliamua Valambhia alipwe si chini ya dola 60 milioni na Benki Kuu. Hajawahi kulipwa na kesi inaendelea. Ajabu waliokuwa wanaitetea Benki Kuu walishalipwa zaidi ya dola 30 milioni, nusu ya zile anazodai Valambhia. Mzee Valambhia alifariki mwaka juzi, na kesi inaendelea! Kesi miaka 23!!
 
Mkuu Nape,

Nakubalina na mawazo yako kwa asilimia zote.Nimatumaini yangu utachukua hatua sahihi ili kuhakikisha mawazo yako yanafanyiwa kazi mara moja hasa ukitilia maanani wewe ni mjumbe wa kamati kuu ya chama chako.

Ngongo@Arusha City
 
Jua pesa ilimnunua hta yesu,kwa hyo haiwez shndwa kuwanunu waliokupa madaraka. Ni nguvu ya umma tu ndio inaweza kubadili.

Na hakuna kitu kibaya kama kuchokwa, sio siri nyinyi m mmechokwa sana na watanzania wengi, nyie wenyewe mnabaguana.

Swali ni kwanini J2 kwenye mkutano ktk viwanja vya CHADEMA wasemaji wote ilionekana wanatoka kundi flani? Mbona hamkuchukua toka kundi jingne? Mbona mapacha watatu mpaka leo mnao? Huo mfumo wa mahakama mnatupa tu maneno kama ya siku 90, mlizodai. Hamna lolote.
 
Nape, you are part of the players in this stalement in justice system in Tanzania. You should have told us what role did you play to change/alter the system you are complaining against. Otherwise, you are becoming part of wishful thinkers, who unfortunately, make the big number of our population in this country
 
Nape kama hutaki kujibu hoja hizi zinazotolewa uzi wako unakosa maana yake. Jibu hoja mkuu, siamini kama husomi hoja hizi na siamini kama huna majibu yake. Hata kama jibu ni serikali ni goi goi Just say it.
 
Ahaa, jambo hili ni kubwa zaidi ya maneno ya Nape, ukiangilia tatizo la kuchelewa kwa kesi mahakamani utagundua linachangiwa na mambo mengi.

Moja na kubwa zaidi ni ufinyu wa bajeti ya mahakama mfano angalia bajeti zilizotangulia mahakama kuanzia rufaa hadi za mwanzo zinapata bajeti chini ya mkoa mmoja- mfano mkoa wa lindi, mtwara nk. kuna wakati bajeti ya mahakama zote za tanzania ilikuwa na pesa kidogo kuliko zilizotengwa na serikali kwa ajili ya vinywaji na chai ya wakubwa wa serikali ofisini. kumbuka mashahidi wanaitwa mahakamani wanalipwa na mahakama. mfano mdogo angalia kesi ya huyu jamaa wa boxing aliyetuhumiwa na kosa la madawa ya kulevya.

lakini angalia kesi za uchaguzi zinavyotengewa pesa maalum, hii inadhoofisha sana namna mahakama inavyoweza kujiendesha na kusikiliza kesi zake.

masuala ya kuchelewa kwa upelezi au hata pengine polisi kutokuwa na nyenzo za kutosha kufanya upelelezi na wakati mwingine kukusa hata magari au mafuta kupeleka mahabusu mahakamani.

kwa ujumla wake hili ni kosa la serikali kudharau mahakama na unaweza fikia hatua ukaamini kwamba kunajuhudi z dhati za serikali kuiadhibu mahakama.kwani iachwa ijitawale atakajepata shoka la mahakama huru kwanza ni serikali ambayo nape ameituma kazi.

suala la kweli katika hili ni angalia kesi za kibiashara. kuna mahakama ya biashaara ambayo mfumo wake na uwezeshwaji wake siyo sawa hata na mahakama ya rufaa. kesi hizi niza watu watu matajiri na mashirika makubwa za wanyonge ndo hizo zinamaliza miaka mingi katika mahakama za kawaida maana pale makahama ya biashara kesi ni miezi tu. serikali haijui hayo?

Kumbe ukiangalia kwa undani zaidi utakuta wa kulaumiwa kwanza ni serikali ya akina Nape na wala hawana cha kujitetea hapa. wakitimiza wajibu wao wa kutenga fedha kulingana na mahitaji mifumo mingine ya kiutendaji mahakamani ambayo ni matatizo ya ndani ya mahakama itakuwa ni rahisi kuyaona na kuyaondoa kuliko ilivyo sasa.

angalia uahaba wa majaji na mahakimu katika ngazi zote, angalia maslahi yao, angalia ofisi zao na vitendea kazi kwa ujumla hawawezi kutenda haki kwa kumaliza mashauri kwa muda kabla ya haya yote kufanyika. kumbuka mwaka juzi mahakama ya wilaya moja hapa dar ifukuzwa ktk jengo kwa sababu ni la kuazima hata kodi hawezi kulipa- fikiri mahakama inafanyia kazi kwenye ofisi isiyo maaluma. Je ni kweli kwamba akina Nape hamjui haya? tafakari kama bado mna uhalali wa kuendelea kuongoza nchi.
 
Dabudee!

Umenikuna ulivyojitahidi kuweka hii hekaya ya Nape mtoto wa Moses Mnauye. Kama Jakaya Kikwete aliamua akina Ridhiwan na Masha waifilisi Deep Green na kumeza 10bn/= za EPA halafu akaamua akina Rostam na Manji wasamehewe fedha za Kagoda pamoja na wengineo and this hopeless child s/0 Mnauye anakuja na hekaya za abunuwasi this is an insult.

Sikutaka kuchangia but wewe umenipatia hamasa. Tumefundishwa kusamehe watu wanaotukosea but naomba Mungu anisamehe kwani siwezi kumsamehe Kikwete come sun or rain ni lazima tuwafikishe Mahakamani na kuitaifisha Mali zao zote

Hata Kama wakitangulia mbele ya haki Kabla ya ukombozi wa nchi from CCM they have to pay a heavy price wao na jamaa zao hata watoto na wajukuu!

Hao akina Rostam na Dowans/ Richmond plus a few gangsters waliopo Wizara ya Nishati na Tanesco ikifikia redemption day the have to pay back every cent including hiyo migodi waliyowapatia Barrick. Kampuni mama ya Barrick has made a profit from the Gold over 50bilion dollars halafu Nyie mnasema Tanzania ni Masikini shame upon you and your graves!
 
Nape Nnauye

Iko haja ya kuangalia upya mfumo wa mahakama zetu! Kesi za utumiaji mbaya wa madaraka, rushwa, ufisadi na uhujumu uchumi zisichukue muda mrefu bila kutolewa maamuzi. Kwanza ni hasara kwa serikali na nchi na haitoi mafunzo kwa kizazi kichanga kuona kuwa haya ni matendo maovu katika jamii! Kama tumeweza kuwa na utaratibu wa kushughulikia kesi za uchaguzi ndani ya muda flani kwanini tushindwe kwenye kesi hizi za uhujumu uchumi?!.

Chukua mfano wa Mkurugenzi ambaye amesimamishwa kazi na kupelekwa mahakamani kwa ubadhirifu, kesi ikiendelea kwa miaka sita , anaendelea kupokea mshahara, tunalipa mawakili wa serikali, mtuhumiwa ana dunda tu barabarani!! Ipo haja ya kuangalia upya mfumo wa kushughulikia kesi za namna hii!..
 
Nape kama hutaki kujibu hoja hizi zinazotolewa uzi wako unakosa maana yake. Jibu hoja mkuu, siamini kama husomi hoja hizi na siamini kama huna majibu yake. Hata kama jibu ni serikali ni goi goi Just say it.

Aweda,u r very wright.

kwa kuwa Nape ana sauti na dola anayo kama chama asiishie hapa jukwaani,tutamuona ni mlaghai,tunamuomba aipeleke hii hoja kwenye vikao vya chama ili ipelekwe bungeni hizi kesi ziwe na muda maalum.na viongozi wa aina hii wanapotuhumiwa waondoke ofisini.
 
Kama mahakama zetu zinachukua miezi kuprove umri wa Lulu, wakati uthibitisho uko wazi RITA, Clinic, shule na kanisani vipi kuhusu kuchunguza kesi ya mabilioni????
 
Back
Top Bottom