Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
Over kazi kwenu ctaki maswali
Askari muoga kwa nn hutaki maswali? Simu zipo on! Wanapga leo au wameanza kupga?Over kazi kwenu ctaki maswali
Siku imeisha hawapig au unatupa kazi yakuangalia kila anaepga? Wambie watume SMS sasa hatuwez kukaa na simu muda wote!Over kazi kwenu ctaki maswali
waliositishiwa kivipi? Vyeti feki au vya utata?Kweli naskia watu wameitwa na wanaendelea kuitwa wakajaze fomu na mikataba mipya ya Ajira ili 01.08 waripot kazini hii imekaaje? Zoez ni endelevu au wengine wamesahaulika?
Sent using Jamii Forums mobile app